Ile ndoa imesambaratika!

Ile ndoa imesambaratika!

Bazazi

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2008
Posts
2,806
Reaction score
3,502
Majuzi nilikuja na uzi huu

Ile ndoa ni kama imekwisha kwani wametengana (ndoa ya Kikristo). Hiyo ni kutokana na mume kuona haina haja ya kwenda mahakamani kwani ni kujidhalilisha tu. Ukweli ni kujidhalilisha maana kuna msemo wa kizungu unadai "YOU HAVE FAILES AS A MAN, IF ANOTHER MAN MAKES YOUR WOMAN HAPPY!." Mvurugano umetokea tarehe 26/09/2019 ambapo mume alimuita Baba Mkwe na kumuonesha ushahidi hasa wa walivyokuwa wakipigiana simu hata baada ya mume kungundua ambapo wakati mwingine walikuwa wakiongea akiwepo (hajui walichokuwa wakiongea).

Aliyesambaratisha ndoa ni Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Shule ya Sheria na Idara ya Sheria za Uchumi. Mhadhiri ana shahada 4 za sheria ambazo ni
1. LLB ya UDSM
2. LLM ya UDSM
3. LLM ya Notre Dame
4. PhD ya UDSM
Mhadhiri ni Mpare akiwa kakulia Arusha ktk kijiji cha Lerai - Arumeru ambako nduguze bado wanaishi.

Mume anawatakia maisha mema iwapo wataendeleza uhusiano wa kimapenzi.

Bazazi!
 
Mkuu wewe usalama wa taifa?😳 au Ubazazi ndio umefanya kuyajua yote haya.


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Duuuu yaani leo nimeshinda kutwa nzima nasoma uzi wa "umeshawahi kula tunda kimashara?" So japo huu nimeusoma na unasikitisha kwa kuwa kichwa kimechoshwa na uzi pendwa tajwa naomba huu ni comment kesho.
 
Oh Bazazi pole sana,
Ila saikolojia ya mapenzi wanaume wengi hawaitambui, huyo mwanamke sio kwamba anampenda yule mwanasheria ni mihemko tu na kuna feeling ya penzi jipya anaitamani maana kwa kweli kwenye ndoa ya kamuda karefu kuna vitu huwa kihisia vinapotea yanabaki mazoea zaidi.
client3:
Mi ni mleta mada tu. Ila salamu za pole zitafika

Bazazi
 
Back
Top Bottom