si walisema ni kesi ya kiharifu kama waharifu wengine au?ile ilipelekwa court martial mkuu
sawaNgoja waje
*
**
***
****Ramadhan Kareem****
ile kesi ya mwanajeshi aliyesababisha taharuki pale ATM Sinza imefikia wapi? tunaomba Up-date kama mtu ashakula mvua au ndo ipo undercover?