Vipao mbele vya ukaws ni hivi viguatavyo (1)Kuimarisha nishati ya umeme.Lengo ni kuhakikisha umeme wa uhakika usiokatika mwaka mzima.Ukikatwa uwe siku za ukarabati wa mitambo tu.Umeme wa uhakika utazalisha ajira kwa watu wengi,mafundi,saloon,wauza maduka na vyakula,ukuwaji wa viwanda,hotels,wafugaji wa kuku na shughuli zote zinazohitaji nishati ya uhakika. 2.Foleni Dar tutaimaliza kwa kuachana na ujenzi wa barabara.Tukiendelea nanujenzi wa barabara mika 20 ijayo Dar nzima itakuwa ni barabara.Sasa basi tutajenga reli nne ya kwanza ,Posta-Kariakoo-Kimara-Kibaha-Chalinze,ya pili mjini-mbagala-mkuranga,ya tatu Mjini-mbezi beach-Tegeta-Bagamoyo na nnee Mjini-Tazara-Uwanja wa ndege-Pugu-Kisarawe.Tutajenga bandari ya nchi kavu maeneo ya chalinze.Mizigo itatoka bandarini kwa treni hadi chalinze,malori yote yataishia chalinze isipokuwa mizingo ya Dar tu.Hatua hii itainua uchumi wa nchi kwa kasi. 3.Nimebanwa kidogo,nikipata muda nitaendelea kuzichapa hapa