Hivi unapata wapi nguvu za kujirekodi utupu na kumtumia mtu(mpenz wako)? Serious? Kabisa unakaa unachukua video au unajipiga picha?
Aisee me mwanamke akinitumia picha au akiniuliza kama napenda awe ananitumia inakuwa ndo mwisho wa mahusiano(namuona mtoto mjinga hajakua na hajielewi)
Ujue wengi wanalichukulia easy ila hebu fikiria umemtumia kasave then akiwa kweye mishe zake rafiki au ndugu kamuomba simu yake aidha apige au afanye kitu chochote kile.
Watu wengi siku hizi wapumbavu sekunde kashafika kwenye galley ameona fasta anawasha Airdrop anajitumia fasta bila wewe kujua
Kesho unazikuta mitandaon. Unamlaumu nani wakati ni ujinga wako?
Aisee me mwanamke akinitumia picha au akiniuliza kama napenda awe ananitumia inakuwa ndo mwisho wa mahusiano(namuona mtoto mjinga hajakua na hajielewi)
Ujue wengi wanalichukulia easy ila hebu fikiria umemtumia kasave then akiwa kweye mishe zake rafiki au ndugu kamuomba simu yake aidha apige au afanye kitu chochote kile.
Watu wengi siku hizi wapumbavu sekunde kashafika kwenye galley ameona fasta anawasha Airdrop anajitumia fasta bila wewe kujua
Kesho unazikuta mitandaon. Unamlaumu nani wakati ni ujinga wako?