Ila wanaume….!

Hivi inakuwaje mpenzi wako anakupa ela tena 10k na anakudai? As if ulimwambia akuazime?!!!.

Na manene juu ya karaha
kweli tukuwetuyaone Nyie ,mtutunze tu msipate makasiriko.
Pole sana kwa maswaibu unayopitia RELAX wanaume wa kweli tupo tunatoa na hatudai .😂😂😂
 
Sema nini we malizana nae tu sisi tukisema hapa tutasema mengi sana na mengine yakawa sio kweli😅
 
Manzi kazaa yule jaman....labda kama atamlea mtoto
Njia aliyoitumia ndo mbaya. Na alitaka kutumia kuzaa kwake naye kuwe mtaji..!!

By the way, Uyole wazima? Nikiingia pale Mfikemo ntakutafuta tu..!!
 
😂😂😂 babe nikopeshe alfu kumi ninunue vocha nimesahau wallet home

Boy: Vipi buku teni langu
Mleta mada: Jamaaaaniii elf 10 unadai kama milioni na naenda kukutangaza jf

Haya umerudhika kunidhalilisha 🚶🚶🚶
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…