Mapenzi ya dhati hawana.
Wewe funga tu macho ingia kwenye ndoa
utakalolikuta mshukuru mola na uvumilie
loh
sikutegemea kama yangekuwa haya? Mtu kaolewa kumbe mwanaume ana watoto 9 wa nje?
Sio kwamba naponda mtu kuoa akiwa na watoto wa nje ila 9 tena mama tofauti?
Bado mke yupo leba kujifungua kaleta mwanamke mwingine ndani?
Sasa hapo daaaah si heri uishi peke yako jamani?
Hapo ni msaada au ni mzigo wa maisha?
Ee mungu ninusuru maana wa kwangu kaniambia ana binti mmoja isiwe ni kipa tu huyo wachezaji wapo uwanjani.
Make up zimepanda bei ujuenina hasira sio kidogo
Ushahidi:
-Smile ameanzisa sredi kwa hasira
- Ana fulu details za mtuhumiwa
- anajua tayari details za watoto wa njemba.
Akibisha nitamwaga ushahidi zaidi
Ushahidi:
-Smile ameanzisa sredi kwa hasira
- Ana fulu details za mtuhumiwa
- anajua tayari details za watoto wa njemba.
Akibisha nitamwaga ushahidi zaidi
nina hasira sio kidogo
Mapenzi ya dhati hawana.
Wewe funga tu macho ingia kwenye ndoa
utakalolikuta mshukuru mola na uvumilie
loh
sikutegemea kama yangekuwa haya? Mtu kaolewa kumbe mwanaume ana watoto 9 wa nje?
Sio kwamba naponda mtu kuoa akiwa na watoto wa nje ila 9 tena mama tofauti?
Bado mke yupo leba kujifungua kaleta mwanamke mwingine ndani?
Sasa hapo daaaah si heri uishi peke yako jamani?
Hapo ni msaada au ni mzigo wa maisha?
Ee mungu ninusuru maana wa kwangu kaniambia ana binti mmoja isiwe ni kipa tu huyo wachezaji wapo uwanjani.
Mapenzi ya dhati hawana.
Wewe funga tu macho ingia kwenye ndoa
utakalolikuta mshukuru mola na uvumilie
loh
sikutegemea kama yangekuwa haya? Mtu kaolewa kumbe mwanaume ana watoto 9 wa nje?
Sio kwamba naponda mtu kuoa akiwa na watoto wa nje ila 9 tena mama tofauti?
Bado mke yupo leba kujifungua kaleta mwanamke mwingine ndani?
Sasa hapo daaaah si heri uishi peke yako jamani?
Hapo ni msaada au ni mzigo wa maisha?
Ee mungu ninusuru maana wa kwangu kaniambia ana binti mmoja isiwe ni kipa tu huyo wachezaji wapo uwanjani.
Mapenzi ya dhati hawana.
Wewe funga tu macho ingia kwenye ndoa
utakalolikuta mshukuru mola na uvumilie
loh
sikutegemea kama yangekuwa haya? Mtu kaolewa kumbe mwanaume ana watoto 9 wa nje?
Sio kwamba naponda mtu kuoa akiwa na watoto wa nje ila 9 tena mama tofauti?
Bado mke yupo leba kujifungua kaleta mwanamke mwingine ndani?
Sasa hapo daaaah si heri uishi peke yako jamani?
Hapo ni msaada au ni mzigo wa maisha?
Ee mungu ninusuru maana wa kwangu kaniambia ana binti mmoja isiwe ni kipa tu huyo wachezaji wapo uwanjani.
hata ukintisha bada nina nia ya kuolewa hata awe na watoto 9 njee
Case closed!
Siku nyingine ujifunze kutumia kondom!!
Mkuu kuzaa ni kuwa na mataizo ya akili?sijui kwa nini
lakini watanzania huwa hawaelewi kabisa vitu vya msingi na taarifa zinazotangazwa mara kwa mara
takwimu rasmi ni kuwa watanzania wenye 'matatizo ya akili ' ni zaidi ya milioni moja na nusu.....
now go figure....
Jamaa nimemzidi watoto wa tatu na sijaoa. Hebu piga simu polisi waje waniokoe nipo tandale juu ya paa nikipotea watoto wataishi maisha magumu.
Dah!hii taasisi ya ndoa pasua kichwa sn!kwa stahili hiyo bora kuishi peke yako,haja km ndio kuijaza nchi huyu mwanaume kazidi lol!hata km ndio majaliwa ya urijali imezidi bwana anahitaji kuchunguzwa kitaalam wenda ni abunomo khaa!watoto 9 kwa mama tofauti!!!
ndo maana kipindi cha uchumba au bf na gf mnatakiwa mchunguzane vya kutosha. Au ukiona mwanaume chovya chovya think twice