Kwako ni Bro kwangu ni Dad sasa utamuita nani baada ya kuchakaza nyasi?Twende kazi mjukuu, niko 🔥 kabisa!!
Usijali huyo ni braza, huwa tuna tabia ya kupigiana pasi😅
Kwako ni Bro kwangu ni Dad sasa utamuita nani baada ya kuchakaza nyasi?
JF has never bored me✌️
Una akili sana babu 😁Dad wa mchongo, ukikaa vibaya unawekwa😅 fanya chap tuendelee na zoezi letu, chaja itakata sio mda
Duuuuh hahaha
Jamaa anasubiri malipo kajenga daraja kwa nguvu zake..
Dah! Hili la kuitwa dad wa mchongo limeniuma sana😫 .. Hizi kunguni nilizosagiwa ni nyingi mno!😂🙌🏿Haha, Mshana Jr umetoa mada ya msingi sana! Ni kweli kabisa, hata kwenye 'kuchill' bado tunaweza kuleta ubora wetu na kuandika vitu 'quality' kama ulivyosema.
Lakini pia, hizi pasi za 'Dad wa mchongo', 'babu' na 'mjukuu' ndio zinaleta uhai na kuifanya Chitchat iendelee kuwa sehemu tamu ya kupoza akili na kupunguza stress kweli kweli! Burudani iendelee, wadau! 🔥
Nampa tahadhari ShesRise_1 maana dad wa mchongo ana lake jambo😅😅Kwahiyo ERoni unataka kusema...!?🤔View attachment 3574165
Babu upo makini mjukuu asiende kucheza kwa jirani😁Nampa tahadhari ShesRise_1 maana dad wa mchongo ana lake jambo😅😅
Dah! Bado tu unaendelea kunisagia kunguni mkuu wangu?😂Nampa tahadhari ShesRise_1 maana dad wa mchongo ana lake jambo😅😅