kingkimwe
JF-Expert Member
- Feb 12, 2015
- 1,535
- 1,951
Achana na insta wewe mshamba, tafuta nauli ukamuone live bila makeup
Bila editing
Achana na insta wewe mshamba, tafuta nauli ukamuone live bila makeup
Sijui tukwambie au tukuache tu...
Kabla ya kuona ile koneksheni hata mimi nilikuwa na mawaz
Kwani kizuri kina haja ya kukielezea sana, ukikitizama tu ujajua kile ni kizuri. Macho yameona.Umetumia vigezo gani kusema yeye ni mzuri.
Naomba kupewa muongozo.
Ana kaaaa mtaani kwangu huyu asubuhi ukimuona wakawaida sana anabebwa na ilo wezele hapo nyuma tu 😂
Nilitaka niseme hivyo hivyo aise.Uliona zile video?😁🤭
Weka picha
Vip kwan, mbunye haina tobo au?Hukuona connection yake,ni bure kabisa
😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣😁 SiweziWeka picha
😳wee,sema kweli?
True my wangu😳wee,sema kweli?
Haya Sawa,tushukuru your eyes Charles kilian 😘True my wangu
Ikiwa na tattoo, inatosha kukaa pembeni, wacha ipite hiyo kimeo!