Makonyeza
Member
- Feb 2, 2020
- 69
- 252
Mwenzao anabondwa mWezi wa Tatu huu wao leo ndo wako bungeni kuomba hela ya msaada.
Kwa hiyo vita kwao si dharura kiasi cha kulazimika kufuata protokali zooote za kimamlaka kupata kibali.
Halafu baada ya hapo wakishapata hicho kibali msaada watakaotoa ni madawa, chakula, propaganda na vitisho
Marekani anamjua Putin,
Marekani anajua madhara ya vita,
Hawezi kuwa mjinga kujiingiza kwenye vita na Urusi,
anajua kitakachotokea,
anajua mtego aliowekewa
Kwa hiyo vita kwao si dharura kiasi cha kulazimika kufuata protokali zooote za kimamlaka kupata kibali.
Halafu baada ya hapo wakishapata hicho kibali msaada watakaotoa ni madawa, chakula, propaganda na vitisho
Marekani anamjua Putin,
Marekani anajua madhara ya vita,
Hawezi kuwa mjinga kujiingiza kwenye vita na Urusi,
anajua kitakachotokea,
anajua mtego aliowekewa