Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 19,295
- 60,915
Wakuu habari ya leo,.
(Chit-chats and jokes)
Leo em mniambie kwanza Kuna uhusiano gani kati ya hali ya hewa (baridi) na kula sana. kipindi cha baridi nakuwa njaa mda wote,. Yaani nakula kama kiwavi😌
Mfano leo,. Wakati natoka nyumbani nlikunywa uji mandazi mawili nikachukua na maziwa mtindi na maji nikajiambia hapa nishashiba maziwa mtindi na maji yatanisogeza Hadi jioni nitarudi kula nyumbani,. Mwe!😅
Picha linaanza kabla ya sa3 njaa ikaanza kuuma nikanywa maziwa yote haijapita hata nusu saa najiona kama sijala kitu nikaagiza supu nimekunywa,. Nikanywa na maji mengi lakini sa6 sita sa7 njaa tena ikaniuma, nikaagiza chips nimekula nimekunywa maji meengi lakini tumbo naliona liko empty .. Saizi Tena nimekula parachichi na yogurt nimemaliza lakini Bado naona kama tumboni Kuna vitu vinacheza vinaniambia inabidi Nile tena maskini😭😂
Dawa za minyoo nazinywa sana lakini hali naona Bado,. Nashindwa kujizuia kula .. Anayejua tatizo nini please au ndio baridi??
(Chit-chats and jokes)
Leo em mniambie kwanza Kuna uhusiano gani kati ya hali ya hewa (baridi) na kula sana. kipindi cha baridi nakuwa njaa mda wote,. Yaani nakula kama kiwavi😌
Mfano leo,. Wakati natoka nyumbani nlikunywa uji mandazi mawili nikachukua na maziwa mtindi na maji nikajiambia hapa nishashiba maziwa mtindi na maji yatanisogeza Hadi jioni nitarudi kula nyumbani,. Mwe!😅
Picha linaanza kabla ya sa3 njaa ikaanza kuuma nikanywa maziwa yote haijapita hata nusu saa najiona kama sijala kitu nikaagiza supu nimekunywa,. Nikanywa na maji mengi lakini sa6 sita sa7 njaa tena ikaniuma, nikaagiza chips nimekula nimekunywa maji meengi lakini tumbo naliona liko empty .. Saizi Tena nimekula parachichi na yogurt nimemaliza lakini Bado naona kama tumboni Kuna vitu vinacheza vinaniambia inabidi Nile tena maskini😭😂
Dawa za minyoo nazinywa sana lakini hali naona Bado,. Nashindwa kujizuia kula .. Anayejua tatizo nini please au ndio baridi??