Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 7,682
- 9,529
Asante. ZimefikaWasalimie ikwiriri posta hapo
Ova
Ni wilaya gani, mkoa1. Tupo hapa uwanja wa Ujamaa - Ikwiriri tukitizama bila chenga tukio kubwa duniani.
2. Asante Chama Chetu kwa kutuwekea TV kubwa hapa uwanjani bila malipo
Zaina unaye jirani hapo?1. Tupo hapa uwanja wa Ujamaa - Ikwiriri tukitizama bila chenga tukio kubwa duniani.
2. Asante Chama Chetu kwa kutuwekea TV kubwa hapa uwanjani bila malipo
1. Tupo hapa uwanja wa Ujamaa - Ikwiriri tukitizama bila chenga tukio kubwa duniani.
2. Asante Chama Chetu kwa kutuwekea TV kubwa hapa uwanjani bila malipo
Wilaya ya Rufiji mkoa wa PwaniNi wilaya gani, mkoa
Mbunge wetu kaoa penyeweWilaya ya Rufiji mkoa wa Pwani
Unaumia ukiwa wapi?Hayo ndio mawazo ya vijana wa ccm kushabikia, kusifia vitu visivyo vya msingi
nilijtegemea labda shukrani na pongezi kwa kupata ajira au mikopo ya biashara ili waweze kujinunulia TV zao kama asset majumbani mwao kumbe ni pongezi za msaada wa masaa machache na kuwa watumwa wa kuitwa uwanjani kwa jambo lisilo na faida kwao
kitembo,mpalange mpaka Ikwiriri kwa manjenga,nyamwage na muhoro kwa kipoloya bila kusahau kibiti kwa kilo ya mboga!Wasalimie umwe na mgomba
na wewe ulikuwepo!?Unaumia ukiwa wapi?
Surekitembo,mpalange mpaka Ikwiriri kwa manjenga,nyamwage na muhoro kwa kipoloya bila kusahau kibiti kwa kilo ya mboga!