Ikulu, Zanzibar: Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi ni mzima wa afya

mulwanaka

JF-Expert Member
Feb 19, 2017
5,262
12,838
IKULU YATOA TAARIFA KUHUSU MZEE ALI HASSAN MWINYI

Idara ya Habari na Mawasiliano Ikulu inatoa taarifa ya kukanusha habari zisizokuwa rasmi zinazosambaa katika mitandao ya kijamii kuhusu Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi.

Mzee Mwinyi yupo salama, mwenye afya na anaendelea na majukumu yake ya kila siku.

 
Naweza kusema kwa jina la Mola wa JMT, ni vyema umakini wa Hayati Magufuli Raisat Samia AUANGALIE TENA. Mitandao imekithiri uongo, udanganyifu na umbea. Hii so sawa Mama Yeti. Tinakupenda, lakini u'u. Vyombo vyazidi kutukirihisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ