Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,810
- 11,980
Ufafanuzi uliotolewa na Ikulu unasema kuwa Bi.Charangwa Selamani Makwiro (pichani) ameteuliwa kuwa Katibu Tawala wa Wilaya ya Ilala, aliyehamishwa kituo cha kazi Kutoka Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro na kwenda kuwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya Itigi ni John Magalula.
Hapo awali alitajwa kama Bwana wakati ni bibi.
Hapo awali alitajwa kama Bwana wakati ni bibi.