T2015CCM
JF-Expert Member
- Sep 13, 2012
- 7,931
- 987
Tume huru iwe na watu gani? SLAA, GENERALI ULIMMWENGU, KUBENEA, HELLEN KIJO BISIMBA, ANANILEYA NKYA? mbona hivi sasa wamenyamaza vurugu za PONDA na wenzake au wako busy na suala la ULIMBOKA? kazi kweli kweli.Mzushi ni atakaye jaribu kufunika na kuzuia tume huru!! ama sivyo aliyetajwa na ULI ndiye!!