Si unajua hawa staff wa TISS wanapokuwa uraiani hujitambulisha kama wafanyakazi wa ofisi ya rais na ukienda wilayani hujitambulisha kama afisa tawala na ndio maana Dr. nadhani akajichanganya na kusema mfanyakazi wa Ikulu
Iwe anafanya wapi, Jina tayari limewekwa hadharani. Lazima IKULU ilikuwa inajua litakalotendeka. Mr LIWALO na LIWE alijua na lazima alim-"brief" Bosi wake Dhaifu kama "TOP SECRET"