ikulu yambeba Nyalandu

ikulu yambeba Nyalandu

Wana jf, salaam. Waziri wa maliasili na utalii, lazaro nyalandu ameshinda vita. Kwa ghiliba na ushawishi wenye nguvu zisizo kifani, amefanikiwa kuwabadili mawazo wakuu wa ikulu akiwamo katibu mkuu kiongozi. Kwa nguvu hizo, profesa songorwa na profesa kidegesho sasa wanahamishwa wizarani na kupelekwa katika taasisi mbalimbali. Juzi, katibu mkuu kiongozi alimuita nyalandu na wakakamilisha mpango huo. Nyakandu amewaandaa watu wake ili bajeti yake ikwamishwe ktk bunge. Wanaotajwa kusimamia mpango huo ni wabunge wanne. Lengo lao ni kuhoji kwanini maazimio ya bunge yamepuuzwa kwa maprofesa kurejeshwa wizarani. Wanaotajwa ni lugora, lembeli, shelukindo (keshajilipua), sendeka na ndugai. Nchi hii imekufa! Wanaodai uraia wa nchi mbili wameona mbali. Nguvu za pesa zimeshinda.



Kamati ya Bunge ya maliasili na mazingira imekuwa na double standards. Katika sakata hilo Nyalandu naye alikuwepo wizarani. Inabidi haya mambo yachunguzwe. Isije ikawa kama Mfutakamba alivyotaka kutumia kamati ya Sserukamba kumshughulikia Nundu wakati naye alikuwa na yake.
 
Wana jf, salaam. Waziri wa maliasili na utalii, lazaro nyalandu ameshinda vita. Kwa ghiliba na ushawishi wenye nguvu zisizo kifani, amefanikiwa kuwabadili mawazo wakuu wa ikulu akiwamo katibu mkuu kiongozi. Kwa nguvu hizo, profesa songorwa na profesa kidegesho sasa wanahamishwa wizarani na kupelekwa katika taasisi mbalimbali. Juzi, katibu mkuu kiongozi alimuita nyalandu na wakakamilisha mpango huo. Nyakandu amewaandaa watu wake ili bajeti yake ikwamishwe ktk bunge. Wanaotajwa kusimamia mpango huo ni wabunge wanne. Lengo lao ni kuhoji kwanini maazimio ya bunge yamepuuzwa kwa maprofesa kurejeshwa wizarani. Wanaotajwa ni lugora, lembeli, shelukindo (keshajilipua), sendeka na ndugai. Nchi hii imekufa! Wanaodai uraia wa nchi mbili wameona mbali. Nguvu za pesa zimeshinda.

Mkuu you are not objective.
Na pengine ungetumia akili kidogo kujua kwa nini chess ya kuwaondoa hao matechnocrat imefanyika pengine ungeandika tofauti.
Jiulize kwanza kwa nini mawaziri wanne waliondolewa.
Ile ilikuwa kuwajibika kwa makosa ya hao matechnocrat wanaofuja na kujiweka miungu watu mawizarani.

Fufua kumbukumbu yako kuwa ilikuwa Waziri Mkuu Pinda aondolewe na Bunge kama hao mawaziri wanne wasingewajibishwa.
Kuondolewa kwa Waziri Mkuu maana yake hakuna imani na serikali ya awamu ya nne, na hiyo ingekuwa serious.

Yote hayo ni kwa makosa ya hao miungu watu wanaojidai ni taratibu tu ndizo zinaweza kuwaondoa, na kwa maana hiyo hata wakifanya madudu wanalimdwa tu na Katibu Mkuu Kiongozi.

Kufikiri kwa aina hiyo ni ulofa wa kisiasa.
Imefika wakati hao miubgu watu mawizarani wawajibishwe bila soni.
 
Hiyo wizara huwa INA laana ya rushwa tokea enzi hata umpeleke mlokole ni lazima atachafuka tu labda ateuliwe Dr.Lwakatare ndiye tunayemwamini.
 
Manyerere Jacton,
Hivi huna stori nyingine zaidi ya hii kumsema Mh. Nyalandu na Prof Songorwa??

Napata mashaka makubwa na taaluma yako, au na wewe ulikuwa unafaidika na uwepo wao pale wizarani au ni nduguyako?? Uandishi wa habari siku hizi ni rahisi sana.....

Mbona ni wewe tu na sio wengine kila siku na stori zako za uongo juu ya wizara na waziri? Ni wakati sasa inabidi ujitambue.

Mandla.
 
Wana jf, salaam.

Waziri wa maliasili na utalii,Lazaro Nyalandu ameshinda vita kwa ghiliba na ushawishi wenye nguvu zisizo kifani, amefanikiwa kuwabadili mawazo wakuu wa ikulu akiwamo katibu mkuu kiongozi.

Kwa nguvu hizo, profesa Songorwa na profesa Kidegesho sasa wanahamishwa wizarani na kupelekwa katika taasisi mbalimbali. Juzi, katibu mkuu kiongozi alimuita Nyalandu na wakakamilisha mpango huo.

Nyalandu amewaandaa watu wake ili bajeti yake ikwamishwe ktk bunge. Wanaotajwa kusimamia mpango huo ni wabunge wanne. Lengo lao ni kuhoji kwanini maazimio ya bunge yamepuuzwa kwa maprofesa kurejeshwa wizarani.

Wanaotajwa ni Lugora,Lembeli, Shelukindo (keshajilipua), Sendeka na Ndugai. Nchi hii imekufa! Wanaodai uraia wa nchi mbili wameona mbali. Nguvu za pesa zimeshinda.

hii nchi imejaa wasomi wengi sana, tena katika fani mbalimbali lakini inashangaza jinsi ulivyojikita katika kushabikia hii issue. Kungekuwa na ufanisi gani kwa hao "maprofesa " wako kuendelea kuwepo na wakati hawana uhusiano mzuri na waziri wa wizara husika?
wote ni wameteuliwa na mamlaka moja, na tayari hawana uhusiano mzuri, sasa ulitaka waendelee kuwepo ili tuone vita ya panzi?? Acha ushabiki usiokuwa na tija.
Pia, kama kweli mapendekezo ya tume yaliagiza hao wakurugenzi kuchukuliwa hatua, unachopinga na kushabikia ni nini?? mbona ulifurahi sana pale mawaziri walipojiuzuru kwa sababu ya hiyohiyo report??
NI muda wa kufanya kazi na si kushabikia vita zisizokuwa na tija kwa TAIFA.
Kwa watu makini na wanaofanya "root course analysis" , kushabikia hii issue ni indicator ya personal interest in it. Andika mambo ya 200B za tanesco acha ushabiki usiokuwa na maana
 
Kupitia thread hii unaweza kuona makundi ya CCM kuelekea 2015.......Hivi bado Nyaradu ni chaguo la USA?:der::der:
 
Wana jf, salaam.

Waziri wa maliasili na utalii,Lazaro Nyalandu ameshinda vita kwa ghiliba na ushawishi wenye nguvu zisizo kifani, amefanikiwa kuwabadili mawazo wakuu wa ikulu akiwamo katibu mkuu kiongozi.

Kwa nguvu hizo, profesa Songorwa na profesa Kidegesho sasa wanahamishwa wizarani na kupelekwa katika taasisi mbalimbali. Juzi, katibu mkuu kiongozi alimuita Nyalandu na wakakamilisha mpango huo.

Nyalandu amewaandaa watu wake ili bajeti yake ikwamishwe ktk bunge. Wanaotajwa kusimamia mpango huo ni wabunge wanne. Lengo lao ni kuhoji kwanini maazimio ya bunge yamepuuzwa kwa maprofesa kurejeshwa wizarani.

Wanaotajwa ni Lugora,Lembeli, Shelukindo (keshajilipua), Sendeka na Ndugai. Nchi hii imekufa! Wanaodai uraia wa nchi mbili wameona mbali. Nguvu za pesa zimeshinda.
kuna tuhuma gari ya Nyalandu ilikutwa imebeba nyara za serikali na ikapitishwa pia kuna RB ilifunguliwa, nilisoma habari hii kwenye -----------.... na nimemsikia mama Shelukindo akiongea kwa jazba juu ya suala hili la maprofesa hao kurudishwa wizarani, lakini Jamuhuri msichoke kuwafyatua wachumia tumbo hawa
 
Manyerere Jacton,
Hivi huna stori nyingine zaidi ya hii kumsema Mh. Nyalandu na Prof Songorwa??

Napata mashaka makubwa na taaluma yako, au na wewe ulikuwa unafaidika na uwepo wao pale wizarani au ni nduguyako?? Uandishi wa habari siku hizi ni rahisi sana.....

Mbona ni wewe tu na sio wengine kila siku na stori zako za uongo juu ya wizara na waziri? Ni wakati sasa inabidi ujitambue.

Mandla.
kama ni uongo waende mahakamani wakamshtaki
 
Kagasheki pekee alielekea kuweza hii Wizara kwa vile hana njaa.
 
Mkuu nakubaliana na wewe hata Nyala pamoja na huyo waliyemweka kukaimu walitakiwa waondoke.
 
Mkuu Edward nakushukuru kwa maelezo yako ambayo yamesaidia sana kupunguza ukungu katika hii sakata; kwa tafsiri nzuri ya moja kwa moja ni kuwa huyu bwana si mtu wa kuaminika kwani hayuko tayari kusaidia mwenzake anapoona mambo yanaelekea kwenda kombo badala yake atasubiri liharibike ili yeye ajikweze. Hii inanifanya niamini yale maneno niliyo yasikia kijeweni kwetu kuwa huyu jamaa ndiye aliye mmaliza waziri CHAMI!.... na kama mkuiu wa kaya anatoa madaraka kwa kigezo hiki basi serikali yake ni majanga kuliko tulivyofikiri hapo awali.
 
nyalandu hana usafi wa kubaki katika hiyo wizara kama hamis anawajibika naibu wake naye alipaswa kuwa hayupo hapo wizarani,uchafu umefanyika hapo wizarani yeye kauona na kauacha,angekuwa sio mnafikhi ameona uovu angeushughulikia kama kuna watu wanamkwamisha angeachia ngazi na kuja kutuambia watanganyika
 
Kagasheki pekee alielekea kuweza hii Wizara kwa vile hana njaa.


Nani kasema viongozi wa Serikali ya CCM hawanaga njaa au huwa wanashiba? Anzia hapo juu halafu...njooo kwa EL, Mr Six, Joka la mdimu aka Membe, Ngeleja, Kinana, Magufuli, Mwakyembe, Makamba etc wote ni kama viwavi jeshi vinakula huku vinatoa na huku pia vinataga viwavi vidogo dogo ambavyo navyo vinajitayarisha kuja chukua nafasi ya wazee pale watakapofilia mbali

 
Hivi kwani hao watu walioondolewa hizo nafasi waliandikiwa na Mungu kwamba ni zao tu?? Kuna watanzania wengine wanaweza kujaza nafasi hizo tusing'ang'anie watu na kukuza mambo yasiyo na tija kwa wananchi. Uwajibikaji na uwajibishwaji ni jambo la kawaida, tatizo limetokea wakiwa kwenye nyadhifa hizo na kujiuzulu au kubadilishwa vitengo ni mojawapo ya uwajibikaji. Kama wametolewa sio issue. Waziri mkuu wa Korea kusini kajiuzulu baada ya kivuko kuzama sembuse hawa wakurugenzi wa maliasili Tz?? Nini tunataka???

Nchi zingine hawa Majangili waliitakiwa wajiuzulu na wapewe adhabu kama ya Berlusconi. Siyo kuwabadilishia taasisi za uma. Badala ya Ujangili wataanza kuua roho za wananchi. Kunguru Hafugiki.
 
Profesa, profesa, ukigeuka huku profesa aaa tumechoka. Kuwa profesa haimaniishi kuwa ndo umefuta ujinga wote si kweli. Mapo maprofesa ambao ni wajinga katika kutenda pia. Wahamishiwe sehemu nyingine tena huko wanaweza kuwa watendaji wazuri tu lakini si kung'ang'ania hapo mali asili.
 
Wana jf, salaam.

Waziri wa maliasili na utalii,Lazaro Nyalandu ameshinda vita kwa ghiliba na ushawishi wenye nguvu zisizo kifani, amefanikiwa kuwabadili mawazo wakuu wa ikulu akiwamo katibu mkuu kiongozi.

Kwa nguvu hizo, profesa Songorwa na profesa Kidegesho sasa wanahamishwa wizarani na kupelekwa katika taasisi mbalimbali. Juzi, katibu mkuu kiongozi alimuita Nyalandu na wakakamilisha mpango huo.

Nyalandu amewaandaa watu wake ili bajeti yake ikwamishwe ktk bunge. Wanaotajwa kusimamia mpango huo ni wabunge wanne. Lengo lao ni kuhoji kwanini maazimio ya bunge yamepuuzwa kwa maprofesa kurejeshwa wizarani.

Wanaotajwa ni Lugora,Lembeli, Shelukindo (keshajilipua), Sendeka na Ndugai. Nchi hii imekufa! Wanaodai uraia wa nchi mbili wameona mbali. Nguvu za pesa zimeshinda.

Utumishi wa umma ikiwa ni pamoja na ajira(presidential appointments)huongozwa na sheria za kazi na kanuni za kudumu za utumishi wa umma.

Hivyo tuhuma /mashitaka ya kikazi ni lazima yafuate mtiririko huo na ni lazima mtumishi apewe nafasi ya kujieleza na kujitetea(principle of natural justice)

Ndani ya wizara mamalaka ya ajira sio waziri bali katibu mkuu wa wizara na kwa presidential appointee ni rais na sio waziri.
Sasa ya wizara ya maliasili na utalii ni vituko.
 
Back
Top Bottom