Manyerere Jackton
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 2,438
- 4,461
Wana jf, salaam.
Waziri wa maliasili na utalii,Lazaro Nyalandu ameshinda vita kwa ghiliba na ushawishi wenye nguvu zisizo kifani, amefanikiwa kuwabadili mawazo wakuu wa ikulu akiwamo katibu mkuu kiongozi.
Kwa nguvu hizo, profesa Songorwa na profesa Kidegesho sasa wanahamishwa wizarani na kupelekwa katika taasisi mbalimbali. Juzi, katibu mkuu kiongozi alimuita Nyalandu na wakakamilisha mpango huo.
Nyalandu amewaandaa watu wake ili bajeti yake ikwamishwe ktk bunge. Wanaotajwa kusimamia mpango huo ni wabunge wanne. Lengo lao ni kuhoji kwanini maazimio ya bunge yamepuuzwa kwa maprofesa kurejeshwa wizarani.
Wanaotajwa ni Lugora,Lembeli, Shelukindo (keshajilipua), Sendeka na Ndugai. Nchi hii imekufa! Wanaodai uraia wa nchi mbili wameona mbali. Nguvu za pesa zimeshinda.
Waziri wa maliasili na utalii,Lazaro Nyalandu ameshinda vita kwa ghiliba na ushawishi wenye nguvu zisizo kifani, amefanikiwa kuwabadili mawazo wakuu wa ikulu akiwamo katibu mkuu kiongozi.
Kwa nguvu hizo, profesa Songorwa na profesa Kidegesho sasa wanahamishwa wizarani na kupelekwa katika taasisi mbalimbali. Juzi, katibu mkuu kiongozi alimuita Nyalandu na wakakamilisha mpango huo.
Nyalandu amewaandaa watu wake ili bajeti yake ikwamishwe ktk bunge. Wanaotajwa kusimamia mpango huo ni wabunge wanne. Lengo lao ni kuhoji kwanini maazimio ya bunge yamepuuzwa kwa maprofesa kurejeshwa wizarani.
Wanaotajwa ni Lugora,Lembeli, Shelukindo (keshajilipua), Sendeka na Ndugai. Nchi hii imekufa! Wanaodai uraia wa nchi mbili wameona mbali. Nguvu za pesa zimeshinda.