Ikulu ya Saudia Majaribu, milio ya risasi

TUJITEGEMEE

JF-Expert Member
Nov 6, 2010
23,914
23,079
Update 29/09/2019
====
Bodyguard wa Mfalme wa Saud Arabia auawa akiwa kwenye nyumba ya Rafiki yake huko Jiddah!
Ni boyguard aliyejizolea umaarufu kwenye ikulu ya Saud Arabia. Taarifa za kina bado hazijatolewa na ikulu ya nchi hiyo. Hii imetokea mwaka mmoja na miezi kadhaa baada ya kutokea "varangati" kwenye Ikulu ya nchi hiyo.
====
Update (18/05/2018)
April 21, 2018 ilikuwa siku ya Heka heka kwenye Ikulu ya Saudia, Milio ya Risasi nzito nzito ilisikika. Wengi tulidhani, kuna mapinduzi yamefanyika. Ni wakati wa kabla ya tukio hili, Kijana wa mfalume/ama mrithi wa mfalume alikuwa ametamba sana kwenye vyombo vya habari kwa ziara zake huko UK na US na baadaye Ufaransa.
Lakini toka Ikulu ipate heka heka hii, Kijana huyu wa mfalume, bwana mdogo 'King M. Salman' hajaonekana hadharani. Wairan wanasema yawezekana kijana huyu alijeruhiwa kwenye milipuko hiyo ama vinginevyo. Fuatilia zaidi.

Where's Mohammed? Media Speculates About Possible Death of Saudi Crown Prince

Update
====
The local police(in Riyadh) confirmed the disturbance was caused by a drone.
A small unauthorized drone flew in proximity to the royal palace and security personnel dealt with it "according to their instructions," Saudi Press reported quoting local police.

===
According to eyewitnesses gunfire can be heard in the vicinity of the palace late on Saturday night.

Saudi Arabia's King Salman has reportedly been evacuated from the compound to a bunker at an air force base in Riyadh.

The number of assailants, their identity or affiliation has still not been identified.

Several some sources claim that the attack is part of a coup led by Saudi royals who are opposed king Salman,while other reports indicate that the shooting broke out when the palace guards targeted a small drone which came too close to Salman's place of residence.
PressTV
------
Ni habari za hivi punde. Ila hazijadhibitishwa.
==
Moderator, nisaidie, heading ianze na tetesi
==
A number of videos have emerged online, purportedly showing heavy gunfire in close proximity to the royal palace in Saudi Arabia’s capital Riyadh

Heavy gunfire reported outside royal palace in Riyadh (VIDEOS)
Heavy Gunfire Reported In Saudi Capital (Videos)
Report: Gunfire outside king's home in Saudi Arabia



Reports of 'heavy gunfire near royal palace in Saudi Arabia'
 
Back
Top Bottom