TUJITEGEMEE
Platinum Member
- Nov 6, 2010
- 27,302
- 28,016
- Thread starter
- #41
April 21, 2018 ilikuwa siku ya Heka heka kwenye Ikulu ya Saudia, Milio ya Risasi nzito nzito ilisikika. Wengi tulidhani, kuna mapinduzi yamefanyika. Ni wakati wa kabla ya tukio hili, Kijana wa mfalume/ama mrithi wa mfalume alikuwa ametamba sana kwenye vyombo vya habari kwa ziara zake huko UK na US na baadaye Ufaransa.
Lakini toka Ikulu ipate heka heka hii, Kijana huyu wa mfalume, bwana mdogo 'King M. Salman' hajaonekana hadharani. Wairan wanasema yawezekana kijana huyu alijeruhiwa kwenye milipuko hiyo ama vinginevyo. Fuatilia zaidi.
===
The apparent disappearance of Saudi Crown Prince Mohammed bin Salman from the public eye has led several Iranian media outlets to wonder if one of the most powerful men in the kingdom might’ve been killed during an attempted coup last month.
Saudi Crown Prince Mohammed bin Salman was allegedly hit by two bullets during the April 21 attack on the royal palace in Riyadh and may actually be dead as he has not appeared in public since the incident, Kayhan newspaper reports citing "a secret service report sent to the senior officials of an unnamed Arab state."
---
Where's Mohammed? Media Speculates About Possible Death of Saudi Crown Prince
Lakini toka Ikulu ipate heka heka hii, Kijana huyu wa mfalume, bwana mdogo 'King M. Salman' hajaonekana hadharani. Wairan wanasema yawezekana kijana huyu alijeruhiwa kwenye milipuko hiyo ama vinginevyo. Fuatilia zaidi.
===
The apparent disappearance of Saudi Crown Prince Mohammed bin Salman from the public eye has led several Iranian media outlets to wonder if one of the most powerful men in the kingdom might’ve been killed during an attempted coup last month.
Saudi Crown Prince Mohammed bin Salman was allegedly hit by two bullets during the April 21 attack on the royal palace in Riyadh and may actually be dead as he has not appeared in public since the incident, Kayhan newspaper reports citing "a secret service report sent to the senior officials of an unnamed Arab state."
---
Where's Mohammed? Media Speculates About Possible Death of Saudi Crown Prince