Uzalendo hawana kabisa hawa vilaza; kwani uzalendo ni pamoja na kukuza na kuipenda lugha yako!! Sasa mimi najiuliza kama hiyo lugha ya watu inagomba kwanini msioneshe uzalendo kwa kuandika kiswahili mnachokijua kuliko hiyo lugha ya watu?Mnaitia aibu nchi yetu yenye wasomi mahili lakini mnawabania kwa upendeleo wenu wa kishenzi!!
Ndo faida za shule za kata(Vyuo vya Kata)...Vyuo vikuu vikuwa kwenye shule za Msingi kweli?Mfana huko Tanga ECK--Na bado subiri 2015 utaona madudu zaidi.
Wamechanganya adjectives, nouns na pahala pa passive wameweka active, like sms can be send badala ya can be sent. yote sababu ya kupeana ajira kwa kujuana bila kuzingatia weledi.
Wamechanganya adjectives, nouns na pahala pa passive wameweka active, like sms can be send badala ya can be sent. yote sababu ya kupeana ajira kwa kujuana bila kuzingatia weledi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.