Tajiri Kichwa
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 9,019
- 21,913
Lile jengo la ferry karibu na soko la samaki ligeuzwe hostel ya wanafunzi wa ayefemu
Nimeshangaa sana kwa kweli.Kulikuwa kuna haja kweli ya copy and paste jengo la 1910s?
Amandla....
Nani alitangaza kuwa mchoro huo ndiyo icon ya nchi yetu?Ikulu ni lazima kwa nje ionekane kama "State Icon"
Kwani Icon ya Ikulu ya nchi yetu ni ipi??Nani alitangaza kuwa mchoro huo ndiyo icon ya nchi yetu?
Ikulu mbaya hata top 20 ya Ikulu nzuri Africa haipo.Kulikuwa kuna haja kweli ya copy and paste jengo la 1910s?
Amandla....
Hapana bali bibi yako LumumbaAtamshinda chifu Hangaya?
"....itazinduliwa rasmi na kukabidhiwa kwa watanzania mwezi wa tano mwaka huu...." Hii sentensi inabeba maneno mazito sana ukiitafakari kwa kina.Waziri mkuu Kassim Majaliwa amekagua ujenzi wa Ikulu mpya ya Chamwino uliofikia 91% ambayo itazinduliwa rasmi na kukabidhiwa kwa watanzania mwezi wa tano mwaka huu.
Ikulu ya Chamwino inaongoza kwa ukubwa wa eneo Duniani kote.
RIP Magufuli hata Chadema watafaidi siku moja wakishinda urais.
View attachment 2084978
Awamu ya Sita ina tatizo kwenye kukamilisha miradi. Kuanzia hapo asilimia 91 inaweza kuchukua miaka miwili kufikia asilimia 100.Waziri mkuu Kassim Majaliwa amekagua ujenzi wa Ikulu mpya ya Chamwino uliofikia 91% ambayo itazinduliwa rasmi na kukabidhiwa kwa watanzania mwezi wa tano mwaka huu.
Ikulu ya Chamwino inaongoza kwa ukubwa wa eneo Duniani kote.
RIP Magufuli hata Chadema watafaidi siku moja wakishinda urais.
View attachment 2084978
Haya Mambo ya kutukuza ukoloni. Okey ya MTU mmoja.Kulikuwa kuna haja kweli ya copy and paste jengo la 1910s?
Amandla....
Omba uwe rais utaujua utamu wakeHaitaongeza chochote kwenye uchumi wa nchi au wa mwananchi. Ni fahari ya macho na matumizi mabaya ya pesa ya umma. Hakukuwa na haja kabisa ya msururu mkubwa wa majengo kama ilivyofanyika.
Rais hata kama angezaa kama simbilisi, nina uhakika hatahitaji hata 20% ya hayo majengo.
Ujenzi una teni pasenti kubwa, ndio maana alijikita hukoTumpongeze mwendazake alipambana sanaa kuhakikisha huu mji unakuwa na hadhi ya makao makuu ya nchi.