Mama Amon
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 2,021
- 2,478
Wadau,
Nimevutiwa na utartibu uliotumiwa na Rais Magufuli leo.
Rais amesema anachofahamu na kile kilichokuwa kwenye flush zake mbili.
Wadau wa biashara wamesema wanachofikiri.
Rais akasikiliza na kujibu.
Kulikwepo na dayalogia.
Rais asiishie hapo, ayaite makundi mengine pia.
Atajifunza sana na kufundisha sana, na kuongeza weledi wake wa kiutawala.
Wote Karibuni Sumbawanga!
Nimevutiwa na utartibu uliotumiwa na Rais Magufuli leo.
Rais amesema anachofahamu na kile kilichokuwa kwenye flush zake mbili.
Wadau wa biashara wamesema wanachofikiri.
Rais akasikiliza na kujibu.
Kulikwepo na dayalogia.
Rais asiishie hapo, ayaite makundi mengine pia.
Atajifunza sana na kufundisha sana, na kuongeza weledi wake wa kiutawala.
Wote Karibuni Sumbawanga!