Yani wewe jamaaaa hauna hoja, uko desperate na usalama wako wa taifa, Kwanza haujui kujenga hoja unabaki kubuni buni mambo tu kwa kupata sifa labda....hakuna unachokijua kwa Sasa.....tafuta kazi na uache kushinda kwenye mitandao....Na wakati huo huo, Mkurugenzi Mkuu wa sasa wa Idara ya Usalama wa Taifa, Dkt Modestus Kipilimba.... Let me wait for the wrong news first
Anatafuta mbinu za kumkabili Membe 2020View attachment 958125
Ni leo tarehe 06/12/2018 . Bosi huyo wa Zamani wa TISS na swahiba mkubwa wa Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema na Mgombea Urais 2015 aliyeviwakilisha Vyama vinavyounda Umoja wa UKAWA, EDWARD Ngoyaye Lowassa, apongeza Miradi mikubwa inayofanywa na Serikali ya awamu ya tano. Apson ametoa wito kwa Wananchi kuipa ushirikiano Serikali ya JPM.
View attachment 958072
Mijitu mingine bana yaani unaandika ujinga huku ukiwa miongoni mwa wanaotaabika ndani ya utawala huu.Mwaka huu lazima mchanganyikiwe JPM siyo wa kispoti
Mkuu mbona mapovu?Mijitu mingine bana yaani unaandika ujinga huku ukiwa miongoni mwa wanaotaabika ndani ya utawala huu.
View attachment 958125
Ni leo tarehe 06/12/2018 . Bosi huyo wa Zamani wa TISS na swahiba mkubwa wa Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema na Mgombea Urais 2015 aliyeviwakilisha Vyama vinavyounda Umoja wa UKAWA, EDWARD Ngoyaye Lowassa, apongeza Miradi mikubwa inayofanywa na Serikali ya awamu ya tano. Apson ametoa wito kwa Wananchi kuipa ushirikiano Serikali ya JPM.
View attachment 958072
Heri yako wewe unaemfahamu huyu ngumbaru wa TISS, anajifanya mjuaji sana kumbe hana kitu.Yani wewe jamaaaa hauna hoja, uko desperate na usalama wako wa taifa, Kwanza haujui kujenga hoja unabaki kubuni buni mambo tu kwa kupata sifa labda....hakuna unachokijua kwa Sasa.....tafuta kazi na uache kushinda kwenye mitandao....
Unaona mbali sana Mkuu! Wachache sana wa aina yakoMission Complete. Poleni Chadema
Hii inaitwa personal attack, hauna tofauti kabisa na kichaa mwenzio. Vichaa utawajua tu kwa matendo yao hasa linapokuja suala la kujenga hoja kwa sababu hata hiyo elimu yako kiduchu uliyo nayo umeipata kwa kukaririkariri!Yani wewe jamaaaa hauna hoja, uko desperate na usalama wako wa taifa, Kwanza haujui kujenga hoja unabaki kubuni buni mambo tu kwa kupata sifa labda....hakuna unachokijua kwa Sasa.....tafuta kazi na uache kushinda kwenye mitandao....
Nafikiri anavuliwa uDG
Kwani Membe hajakwambia?Kwa hiyo alienda kumpigia magoti kuhusu nini hebu tuambie
2020 ni MembeView attachment 958125
Ni leo tarehe 06/12/2018 . Bosi huyo wa Zamani wa TISS na swahiba mkubwa wa Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema na Mgombea Urais 2015 aliyeviwakilisha Vyama vinavyounda Umoja wa UKAWA, EDWARD Ngoyaye Lowassa, apongeza Miradi mikubwa inayofanywa na Serikali ya awamu ya tano. Apson ametoa wito kwa Wananchi kuipa ushirikiano Serikali ya JPM.
View attachment 958072
Hivi hakuna mtu anaekagua mavazi ya rais kabla ya kupigwa picha?halafu pia haipendezi mnapiga picha mmoja anacheeeka mwngne hacheki..hii inamaanisha nn?mpiga picha hayuko makini hata kidogo anatudhalilishia rais wetu.hebu angalia vifungo vya koti hapoView attachment 958125
Ni leo tarehe 06/12/2018 . Bosi huyo wa Zamani wa TISS na swahiba mkubwa wa Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema na Mgombea Urais 2015 aliyeviwakilisha Vyama vinavyounda Umoja wa UKAWA, EDWARD Ngoyaye Lowassa, apongeza Miradi mikubwa inayofanywa na Serikali ya awamu ya tano. Apson ametoa wito kwa Wananchi kuipa ushirikiano Serikali ya JPM.
View attachment 958072
Dogo siku hizi nakugwaya....manake si kwa akili hizi. Yaan siishi kukupa malikeNani kamwambia watu hawampi ushirikiano? Je na yeye anatoa ushirikiano kwa wenzake? Tuanzie hapo kwanza.
Hao ambao imekwapua mafao yao sio?Uongozi wa sasa unawajali sana wastaafu na kuithamini mno michango yao kwa Taifa walipokuwa katika nafasi zao serikalini.
Eti Uongozi wa sasa unawajali wastaafu! Hivi wewe umo kichwani zimo kweli au tayari ushaanza kuokota makopo? Ushasahau jinsi unavyodhurumu kwa kuwakata mafao yaoUongozi wa sasa unawajali sana wastaafu na kuithamini mno michango yao kwa Taifa walipokuwa katika nafasi zao serikalini.
Na wakati huo huo, Mkurugenzi Mkuu wa sasa wa Idara ya Usalama wa Taifa, Dkt Modestus Kipilimba.... Let me wait for the wrong news first
Jana lolote mmebakk mizombie tu kushangilia huku akitengwa na welevu.Anafikir akimwita mstaf Tiss atatengeneza public attention kutusahaulisha ufedhuri wakeMwaka huu lazima mchanganyikiwe JPM siyo wa kispoti
Kwann uamini ya Lowasa na sio jpm?Watu wenye uelewa wa ushabiki tayari mmeshindwa kuelewa mantiki ya press release hii. Kitendo cha main point kuwa ni kushukuru kukubali kumuona tayari hiyo ni propaganda kama ile ya Lowassa ambaye kamwita mwenyewe kasha wanageuza eti kaomba kuonana.
Awamu hii propaganda za kitoto nyingi mno