Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,785
- 28,806
Unawajali wastaafu kwa kuwapa 25% ya mafao yaòUongozi wa sasa unawajali sana wastaafu na kuithamini mno michango yao kwa Taifa walipokuwa katika nafasi zao serikalini.
Unawajali wastaafu kwa kuwapa 25% ya mafao yaòUongozi wa sasa unawajali sana wastaafu na kuithamini mno michango yao kwa Taifa walipokuwa katika nafasi zao serikalini.
Mission Complete. Poleni Chadema
???????Wakati kaenda Ikulu mara ya kwanza akachaguliwa Kapilimba......
Kapilimba na Membe leo kaitwa
Jambo la heri sana kukutana wakubwa wetu hawa.View attachment 958125
Ni leo tarehe 06/12/2018 . Bosi huyo wa Zamani wa TISS na swahiba mkubwa wa Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema na Mgombea Urais 2015 aliyeviwakilisha Vyama vinavyounda Umoja wa UKAWA, EDWARD Ngoyaye Lowassa, apongeza Miradi mikubwa inayofanywa na Serikali ya awamu ya tano. Apson ametoa wito kwa Wananchi kuipa ushirikiano Serikali ya JPM.
View attachment 958072
Una waChakaza wajinga kwa upotoshaji.Watu wenye uelewa wa ushabiki tayari mmeshindwa kuelewa mantiki ya press release hii. Kitendo cha main point kuwa ni kushukuru kukubali kumuona tayari hiyo ni propaganda kama ile ya Lowassa ambaye kamwita mwenyewe kasha wanageuza eti kaomba kuonana.
Awamu hii propaganda za kitoto nyingi mno
We faler acha kutishia watu.Kwa vile niliwahi kutoka na maza wako doesn't mean unanijua zaidi ya kila mtu
Good news is hicho mnachojaribu kuficha kitafahamika muda si mrefu. Where is Dkt Modestus Kipilimba? Don't push me kuongea yasiyopaswa kuongelewa hapa. I have warned you!
Acha kuwashwa washwa mamdogoMwambie huyo dogo anapalamiapalamia, atapalamia navisivyolamiwa
True walahiKwa bwana john kila goti litapigwa.
Mkuu usipate tabu nae huyu ngumbaru wa TISS,tunajua tutampogia wapi ili atulize mapovu na kutafuta attentions za kijinga.We faler acha kutishia watu.
Mwanaizaya we
Leo ushasafishwa mtaro?Chadrama mcharuko mizee ya matukio kwishney kabisa
@evarist chahali kasema kuna kitu Kipo ivyo wamemwagwa sana
Nafikiri anavuliwa uDG.