IKULU, DAR: Rais Magufuli afanya mazungumzo na Mwenyekiti wa Kampuni ya Barrick Prof. John L. Thornton

Hahahahahaaa imewauma Sana sijui wewe Na prof Palamagamba Kabudi nani anayejua Kiingereza.
Kama Acacia walitoa tamko sasa amekuja boss wake Katubu nyie endeleeni kupiga Kelele
Mkuu ametubu kwenye hiyo clip au ndani?
 
Barrick hawawezi kwenda mahakamani maana hawaoni wanasheria gani wa kuhonga kwenye timu itakayoundwa na serikali ya jpm. siku zote kwenye mashauri ya kimataifa kama nchi haki inakua upande wetu ila ile kitu mnyonge mnyongeni haki yake mpeni kwenye ulimwengu wa kibepari hakuna. wanasheria na timu yetu kama haikununuliwa itajiuza.
 
hebu kuwa na Adabu wewe hivi unaijua Barrick wewe au unaisikia??? Bajeti yetu kwa mwaka huu tilion30 kwa taarifa yako wale wana uwezo wa kugharamia bajeti ya nchi hii kwa miaka20 ndo wanafilisika
Hahahhahahhh trilion 100??? Wakiwalipa ndio ntaamini mko serious hivi unajia mana ya trilion 100??? Hap shareholders watakupa hasara kiasi gani????
 
Ndo kuna zuzu mmoja nilikuwa nabishana nae hapa kumbe wala hafahamu kwamba hadi kesho Acacia wanaendelea na shughuli zao kama kawaida na kilichosimamishwa ni issue ya makinikia peke yake!!!!
Na makanikia ni kama maganda ya ndizi na dhahabu ndio ndizi zenyewe. Yeye hana shida na ndizi(dhahabu) ila maganda tu(maganda)! Bila kukubaliana na wapinzani pamoja na wananchi wanaowalaumu ccm kukubali kupitisha sheria mbaya za madini na gesi na ikiwezekana kuomba radhi kwa kuwa alikuwa mmoja wa walioshiriki kuuza madini ataendelea kusemwa vibaya na kuonekana ni mnafki.
 
Vyoyvote vile lkn Muzungu mwenyewe amekuja kutufuta kinyume na huyo takataka wenu alivyokuwa anataka tufanye tumsujudie Muzungu, fvck chadema!

Aina ya wachambuzi wa Mikataba kama itaachiwa kwa watu kama wewe Mzungu ataachaje kutu fvck?
 
Hao wazungu wamekubali ki laini km wananawa vile? Cjui kwa watz lkn kimataifa mcfanye watu majuha
 
Wataalamu wa mitandao tutafutieni profile ya huyu ndugu profesa kama kweli yupo kundini kule Canada au ndio changa la macho! mzungu anayekubali kirahisi rahisi kwamba alikuwa anafanya biashara kiujanja ujanja bila kujari wala kuogopa ku tarnish image yake na kampuni achilia mbali kushitakiwa kimataifa?!
 
Lisu alikuwa anajpigia debe ili kesi zitakapokwenda mahakamani ndo awe wakili wa kutetea wanyonyaji,mnaomsujudia Lisu ndo mjue alivyo na tabia za kinyonga
 
Hamueleweki lipi mnasimamia!
Baada ya kumpigia magoti Fisadi
Mmekosa muelekeo
Mnacho kipinga na kukikubari hakijulikani
Mpo mpo tu
Sina haja ya kukuelimisha kila siku maana ya upinzani na nni tunachosimamia..... ila kwa leo mnakera kwa upotoshaji ssa wapi wamesema watalipa deni la trilion 100???
 
hebu kuwa na Adabu wewe hivi unaijua Barrick wewe au unaisikia??? Bajeti yetu kwa mwaka huu tilion30 kwa taarifa yako wale wana uwezo wa kugharamia bajeti ya nchi hii kwa miaka20 ndo wanafilisika
Pole sana kama hicho ndicho unachokiamini!!!
 
Vyoyvote vile lkn Muzungu mwenyewe amekuja kutufuta kinyume na huyo takataka wenu alivyokuwa anataka tufanye tumsujudie Muzungu, fvck chadema!
Jamaa hawana hata ubinadam Havana halafu ndo wanataka dola, labda ya kilwa kivinje.....wapuuuzi sana
 
Alichotuambia JPM na alivyotranslate kwa MZUNGU wa watu ni vitu viwili tofauti.kama nimemuelewa mzungu wa watu ni kwamba tutafika sehemu tukubaliane katika hali ya kuridhishana.taarifa ya magogoni inachumvi nyingi sana ukiisoma utafkiri jamaa kuna kosa wamekili ukweli ni kwmba hakuna sehemu wakili kunakosa wamefanya.
 

mbwembwe zote hizo hatuendi kuwashtaki mahakamani.
 
Lisu alikuwa anajpigia debe ili kesi zitakapokwenda mahakamani ndo awe wakili wa kutetea wanyonyaji,mnaomsujudia Lisu ndo mjue alivyo na tabia za kinyonga
Katetea wapi na lini??? Mtu anayeteta wezi angeshauri muunde sheria za kuwabana??? Mbona hta CAG mstaafu ameshauri hicho icho?? Mbona usoro kashauri hiko hiko why lisu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…