IKULU, DAR: Rais Magufuli afanya mazungumzo na Mwenyekiti wa Kampuni ya Barrick Prof. John L. Thornton

Wewe kesi ya nyani umpe ngedere halafu utegemee nini? Hizo kamati mbili zimehusisha watu gani? Hiyo nayo unaweza kusema ni independent committee?

Besides ni sh ngapi tunalipwa? Ni hizo figures za ajabu walizokuja nazo hizo kamati? Trilion 300 unaijua wewe? Semeni kama mnacholipwa ni hiyo 4% iliyopo kwenye sheria zetu mbovu.. Tusifanyane wapumbavu

hapa umeongea kwaniaba ya mzungu?....au ndio wewe mwenyewe mzungu
 
Alichokisema Mwenyekiti wa Barrick Prof Thornton leo. Najaribu kutafuta aliposema kwamba watalipa pesa yote trilion 100 sijapaona,atakayepaona aniite
............................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................ ''I have come here in order to help resolve the problem and I assure the President that we are interested in sitting down and reaching a resolution which is a win win (A win for Tanzania and a win for Barrick and our Subsidiary company, ACACIA)

After having these extensive conversations I feel very optimistic that we will reach a resolution which is a win win for all parties and we will be sitting down soon with a team designated by the President and our own team to go through the detail of that and I feel very good about the progress today.''

Tunaomba utupe na chanzo cha taarifa yako tafadhali.
 
Sijui kama msemaji wa Ikulu anadanganya makusudi au ni kwamba hatujui Kiingereza cha huyo Mkanada.

HAKUNA mahala BARICK wanasema wanakubali deni, wanatubu, watalipa.

Jamani, wenzetu hawa wanatumia vichwa vyao kufikiri na kuongea. Hawafiki mwezini kwa vichwa vya panzi. Hawajitamkii tu maneno ovyo ovyo.

CEO wa ACCACIA hawezi kutamka, tena kwa maandishi, kupinga na kukemea ripoti ya Tume halafu mwingine aje nyuma yake aseme wanakiri, wanatubu, watalipa. Haiwezekani!
 
Mkuu hakuna asiyeunga mkono juhudi za kudai madini yetu ila upotoshaji hausaidii...... msitukumbushe ya dowans
Hamueleweki lipi mnasimamia!
Baada ya kumpigia magoti Fisadi
Mmekosa muelekeo
Mnacho kipinga na kukikubari hakijulikani
Mpo mpo tu
 
Wakishindwa kuelewana ndio tunakutana mahakamaani!!!!

Kipigo kipo pale pale!!!

Mkataba unaelekeza kuwe na majadiliano ikitokea kutokuelewana. Ikishindikana ICSID
 
angekuwa nania njema na rasilimali za taifa angekubali katiba mpya ianze mara moja,eti unamtisha karamagi unamuacha kikwete tena asitajwe,husimamii unachokisema we utakuwa mtu waajabu na ataaminiwa na kuungwa mkono na wajinga tu
Sio wajinga, ni WEHU.
 
Haya sasa Tundu Lisu wa chadema alikuwa anajifanya kumtetea Muzungu kwamba tutashitakiwa mbona mdosi mwenyewe Muzungu amekuja? Unajifanya una uchungu zaidi na Muzungu klk Muzungu mwenyewe !

Usiwe na haraka.
Win win situation umeipata? Hapo kuna mchezo unataka kuchezeka.Bado hatujavuka mto na tuzizodoane
 
Wakishindwa kuelewana ndio tunakutana mahakamaani!!!!

Kipigo kipo pale pale!!!

Mkataba unaelekeza kuwe na majadiliano ikitokea kutokuelewana. Ikishindikana ICSID
Kwamba wewe ni mganga wa kienyeji?
 
Mkuu umenena vema, ile hoja ya Tundu kuwa tutashitakiwa, mara MIGA ilikuwa ni katika hali ya kuonyesha kuwa yeye anajua au alikuwa anatumika? je alikuwa anapinga mambo aliyokuwa na data au ilikuwa porojo tu?
Historia ndio aliotumia lisu na sioni kosa hapo maana ni lazma aweke precautions ukizingatia huko nyuna tumeingia hasara mfano dowans ai IPTL!!! issue hapa ni kwamba baada ya mazungumzo ndio makubaliano hayo yasemwe wazi likiwemo la kulipwa pesa zilizotajwa kwenye ripoti ya mruma na usoro ndio itakuwa jambo zuro kabxa sio kupotosha humu oooh watalipa kumbe wataishia kulipa fine ya kutokusajili Acacia pekee!!!

Tuacheni ushabiki mambo ya kitaifa mkianza kujaribu kumkomoa lisu mtashtuka tunaendelea kuibiwa
 
Sasa ni dhahiri upinzani wa Tanzania ni wa hovyo, ramli zao zote ni kuwa Raisi magufuli na Tume wakosee kiasi Barrick na kundi lake waende mahakamani halafi washinde kesi nchi ilipe fidia.

Pamoja na yote maoni ya viongozi na wafuasi wa Chadema hawajafurahishwa, mwanzo walisema tutashitakiwa, baadaye wakasema takwimu ni za uongo, sasa wanasema Barrick hawatalipa nini ajenda yao?
 
Lissu vepee..?? Wapinzani mafisi tu kumbe nlikua nawaona wa maana sana.,, Now nimewagrade too low more less the same as buttocks...!!
 
Ni kweli umefungwa, kwamba hawa wezi hawakamatiki, zile ni mbwembwe tu!
Sijakuelewa dada yangu ,unakubali kwamba ni wezi halafu unajipinga kwamba hawakamatiki!Mtendaji mkuu amefika na ametubu kwa kutuibia amekubali watu wakae kwa maslahi ya pande mbili,wakati kuna watu walisema tutapelekwa mahakamani au una tatizo na hilo MADAM T?
 
Wakisema tunalipa bil moja kulingana na mikataba na mkikataa ndio swala LA kushtakiwa linakuja. Furaha ya nini mapema wakati mchezo ndio unaanza?
Kwahiyo wewe huna furaha!
Unasubiria Tanzania ishitakiwe upate furaha?
Utasubiria sana
 
Mkuu budget ya miaka mitano????? Wakati hta hayo makinikia mtaambulia 4% yani chini ya trilion 5??? Hivi unajua wanazungumzia makinikia sio zile dhahabu za kule migodini zinazoibwa kama kawa??? Naunga mkono juhudi hizi ila tusipotoshe kwa kuongozwa kwa ushabiki


Per yr almost sisi tunatumia 20 trillions.. Achana na budget inayopitishwa bungeni sijui 31 trillions tshs. In actual sense and real numbers roughly inatumika around 20 trillions kwa mwaka..

Sasa wakilipa 100 trillions of tshs.. Sio miaka 5 ya budget? Think it.. Sbb kamati imepata denied halisi ni 108 trillions of tshs tokea 1998 hadi March 2017.. So unafikiri mahesabu yatakuwa tofauti sana kamati? Subiri uone nakuapia utaona
 
Wewe huna jipya kabisa
Kushitakiwa kuko wapi?
Nyie mpo radhi mubee mabaya Tanzania kuliko mazuri wakupuuzwa nyie
Hahahahahhaha kwahyo watalipa trilion 100?? Hii nchi bwana alafu sio tena 4% ya trilion 100??? Afu mnashabikia
 
Back
Top Bottom