Ikulu Afghanistan inavamiwa!

Kama huogopi kufa kajiunge na hao ndugu zako alikaida. Halafu hapa tunazungumzia kuvamiwa Ikulu ambapo hata innocent people watapoteza maisha. Hapa mkuu unazungumzia masuala binafsi ya dini. Anzisha tread ya dini ili upate mahali pa kutapikia hasira yako ya dini.

Nafikiri mods walichoshwa sana na lile jukwaa la dini ndiyo maana wakaamua kuliondoa kabisa. I can imagine kuwa na members wachache design yako huko kama si kutupiana mapanga na risasi hewani!!!

Sitasilimu hata akishuka mtume Mohamed live!! Niko tayari kukatwa upanga, call me kafiri, right!! It does not matter in my life!!!

Tupunguze hasira, masuala ya dini ni controversial sana.

Ndugu yangu Maane, nani amekuiita kafiri wewe?? Au unajishukumwenyewe tu?? Kama hukuona theme ya post ile ni ncha mbili:
1. Kwa watu wote: Ni kujaribu ku-REASON kutokana na matukio yanayotokea ulimwenguni hivi sasa na kwamba yasiwaastaajabishe watu kutokana na madhila wanayopatishwa waislamu katika ardhi na nchi zao aidha directly (invasions and occupations) au indirectly (tyranical regimes/puppets). Na kwamba baada ya muda mrefu, haya yanayotokea sasa ni MWANZO tu wa reversal trend kuelekea katika haki kusimama katika ardhi hizo na Sharia kutawala katika ardhi hizo, ambayo ni halali na haki kwa waumini wowote wa kiislmu, labda mjinga au mnafiki, kuwa na ndoto navyo ndani ya moyo wake kuiona vinasimama na vinatawala katika ardhi zao. Kuwazuia waislamu na halali na haki hizi ni ukandamizaji ambao kwa bahati mbaya hakuna mtetezi yeyote wa haki za binadamu anaejali, watu wooooote are right wings, hivyo wanabaki waumini wa kiislamu kutomtegemea yeyote bali kurudi katika originality ya imani yao, yaani kumtegemea Allah tu peke yake, na hii geneous ya kivita (little means, big results) tunayoishuhudia sasa ni natural expected results kwa mwenye kukandamizwa, hata wengekuwa sio waislamu. Ukufikiri deeply and realistically lazima uone hivyo, labda na wewe ni kama Abdulhalim.

Kwa Abdulhalim: Uzoefu unaonesha kwamba unapo-REASON na huyu mtu na wenziwe lazima u-REASON hard, lazima umuwekee wazi defects za fikira zake na njia mbili kwake lazima ziwe very clear, kufuata au kuacha ni hiyari yao. Yeye na wenziwe mara nyingi huishia kutukana sio imani tu bali Mwenyezi Mungu na Mitume wake kama imani ya dini fulani inavyoamini na kuwatambua, na kama huamini jibu swali hili "Umefahamu nini wewe katika statement yake fupi ya kurespond na yaliyotokea Afghanistan inayosema " Slaves wa Ibilisi kama kawa/hawa?" " Aaaaaagh, haisemi hivyo unavyofikiri!!! OK, unaona tunavyotofautiana kuona? Kama wewe umeona haisemi hivyo na majibu yangu ni overkill na najibu yasiyokuwepo, basi je nimemtukana nani? na nani personally niliyemwambia ni kafiri? Kwa mujibu wa dini ya kiislamu, hairuhusiwi kufanya hivyo ila inaruhusiwa kudescribe ukafikiri na matendo yake.

Bila shaka wanazo sababu zao na vile vile wana-calculate vizuri mikakati yao hao wanaposingizia uongo, kuvamia na kukalia ardhi za waislamu, vile vile wana hesabu zao wanapolazimisha kwa mapesa na kijeshi tyrants kutawala katika ardhi hizo, na yote haya naturally yatafikia mwisho kama ulivyovikia mwisho utumwa, ukoloni, apartheid, nk. Sasa fikiria mwenyewe kama mtu utakuwa unachukia trend ya namna hii, wewe kama mimi, utajificha wapi? si unaweza kuishia kujiuua mwenyewe (ku-commit suicide). Ipi bora, hivyo au kusalimu amri katika jambo ambalo afterall, despite all the lies against it, islmam is the same way of life (religion) iliyofundishwa na Mitume wote watakatifu, Ibrahiim (Abraham), Daud (David), Muusa (Moses), Isa (Jesus) na mwisho wake ni huyu Mtume Muhammad na hautaleta katika ulimwengu isipokuwa maisha yenye imani na kwamba kila matendo ya wanadamu yatakuwa yanaelekezwa kwa Mwenyezi Mungu muumba na viumbe wake wata-enjoy kutokana na hivyo, labda walio waovu (wanaoendekeza ulevi, maliwati, wazinzi, kuabudu binadamu na masanamu kama celebrities, nk, nk, wala riba, na fasada nyenginezo) ndio wataochukia, kwa maana kweli mambo hayo hayatakuwa na nafasi ya kuiharibu waja wa Mwenyezi Mungu tena, at least katika ardhi ya waislamu.

Kama wewe unajishuku ni hiyari yako mwenyewe, lakini hakuna aliyekuita kafiri na hata siku moja hata wakati huo, let us say hypothetically ukitokea, utalazimishwa kusilimu, hakuna kitu kama hicho, lakini yes, utalazimika ukipenda usipende katika dhahiri na dhidi ya binadamu wenzio KUACHA VITENDO VYA KIKAFIRI. La katika siri, uanweza kuwa utakavyo, lakini jua kwamba Mwenyezi Mungu ni mwenye kujua siri na dhahiri, na mwisho wa makafiri(kukataa na kupinga haki iliyo wazi) ni motoni, na uislamu haiutaki hata mtu mmpja aishie hivyo. Ndio iliposemwa kwa mwenye kusikia kwamba "silimu usalimike" !!!. Ni neno lenye kufikirisha kwa mwenye fikra na ni lenye kukasirisha kwa mwenye chuki.
 
"It does not mean the Taliban is strong. It means they can not target military targets only the Afghan people. It means that they are weak."

Hiyo point nimeipenda
 
Imperialism has a cost, so do puppet regime, na hii sasa ndio gharama yenyewe ambayo Marekani na washirika wake, have to pay.
 
Imperialism has a cost, so do puppet regime, na hii sasa ndio gharama yenyewe ambayo Marekani na washirika wake, have to pay.
Pasco you have nailed it. Watu wanazungumzia matokeo hawatafuti chanzo. Honestly they are entitled to defend their countries. Regime km ya Afghanistan will never sustain regardless of the forces applied.
Kila nchi inanamna ya kudefine demokrasia yake, huwezi kulazimisha model ya western countries ifanye kazi kila sehem. Ndiyo maana nchi za Africa na mashariki ya kati baada ya kuiga mifumo ya nchi za magharibi matokeo yake yanaonekana.
Mwisho haya yoote yanayotokea wala si kwa bahati mbaya. Hebu tujiulize leo hii dunia ikiwa salama zile silaha zitauzwa wapi! Upo ushahidi mwingi khs Afganistan, Iraq, Angola nk jinsi ya nchi hizi zilivyopartiipate kuanzisha vita. Sasa mnataka wananchi wabweteke? Kumbuka; approaches za Tanzania haziwezi kuwa replicated kila sehem like wise western approaches
 
Pasco you have nailed it. Watu wanazungumzia matokeo hawatafuti chanzo. Honestly they are entitled to defend their countries. Regime km ya Afghanistan will never sustain regardless of the forces applied.
Kila nchi inanamna ya kudefine demokrasia yake, huwezi kulazimisha model ya western countries ifanye kazi kila sehem. Ndiyo maana nchi za Africa na mashariki ya kati baada ya kuiga mifumo ya nchi za magharibi matokeo yake yanaonekana.
Mwisho haya yoote yanayotokea wala si kwa bahati mbaya. Hebu tujiulize leo hii dunia ikiwa salama zile silaha zitauzwa wapi! Upo ushahidi mwingi khs Afganistan, Iraq, Angola nk jinsi ya nchi hizi zilivyopartiipate kuanzisha vita. Sasa mnataka wananchi wabweteke? Kumbuka; approaches za Tanzania haziwezi kuwa replicated kila sehem like wise western approaches
Kusema ukweli, Marekani na washirika wake, wanajutia uvamizi wa Iraq, na kama kweli God is just, nao pia moto wa milele unawasubiri. Ni kweli Saadam aliua Wakurd, ila vita ya Iraq imeua Wairaq wengi zaidi ya mara 100 ya waliouliwa na Saddam.

Kisingizio cha WMD, baada ya kukosekana, hata hao wavamizi, wanajutia nafsi zao kwa casualities za askari wao. Bora Mwingereza amepool out of Iraq na Obama kaahidi pool out, ila kwa Afghanistan, maumivu ya September 11 yanamfanya Obama kuwa kinganganizi haswa kwa kuzingatia no proof Osama yu hai au amejufia huko Tora Bora na Mullar Omar wake.

Hizi ni gharama ambazo Mmarekani ataendelea kuzilipia kwa kipindi kirefu.
 
Mpungufu wa kufikiri kama hukuyategemea haya na hupo katika hali ya kutegemea zaidi ya haya, mpaka hapo haki itakaposimama na Sharia kutawala katika ardhi za waislamu. Safari bado ndefu na itakuwa na ups and downs kwa pande zote mbili.

First of all, hakuna nchi ya kisilamu. Hivi ndo mnavyojidanganya na kudanganyana. Na hapan'shaka mpungufu wa akili ni yule anayekubali dini za kulazimishana na kuamini ktk mauaji na kujiua. Sitegemei argument ya maana kutoka kwa mtu kama wewe. Kichwani kaput!

Makafiri hawana wanalojidanganyia zaidi ya maguvu na sophistication ya masilaha yao na vizabizabina (vibaraka ) wao katika matayarisho wa ujio wa kiongozi wao Masiihu Ddajjaal (anti Christ) na kwa waumini hawana wanaemtegemea zaidi ya Allah, Subhaanahu waTaala. Na Isa bin Maryam (Yesu, Jesus) atakaposhuka jambo la kwanza atalofanya ni kuteketeza na kuisafisha dunia na misalaba.

Bwa ha ha ha..Keep on dreaming. Shetani anajulikana na akida wake anajulikana. It will take more effort kugeuza ukweli kuwa uwongo & vice versa.

Makafiri lengo lao ni starehe na fasada za dunia, hivyo ndio maana wanahofu saana kufa, ni kuukosa uhondo wa dunia, wanajidai maneno tuuuu lakini katu hawatouweza mkorogo waliouanzisha duniani kwa muda mrefu, na Waumini lengo lao ni pepo ya Mwenyezi Mungu (SW) na jambo la kupinga udhalimu katika ardhi zao ni sacred endevor, na kifo katika njia hiyo ni shahada kama ilivyo ya uzamili katika descipline husika.

Lengo la 'waumini' ni pepo ya allah kwa kupitia suicide bombing na kuuwa watu wasio na hatia..lolz. Unastahili kuishi kwenye karne za ki-barbaric, dunia ya sasa haikufai.


Makafiir wanapanga na Allah anapanga, na kwa hakika m-bora katika mipango ni Allah (SW), inaweza kwenda namna hii kwa muda mrefu, kwa mfano katika mwaka itakuwa 20 battles kwa makafiri, lakini cha ajabu inawaongezea imani na nguvu waumini na kusafisha kundi lao kutokana na wanafiki wasio na subira, na only 2 battles kwa waumini with devastating blows kwa unbelievers, yaani ndugu yangu Abdulhalim, mwishowe ushindi ni kwa wenye kuamini. That is absolute sure, hebu analyse mambo sawasawa !!!

Sina matatizo ya ku-analyse. Kama allah anaweza kubattle dhidi ya (allegedly) kiumbe, chake, na sometimes anashindwa vibaya, nadhani kama una akili timamu utakuwa unajua something is entirely wrong. Ila sitegemei ulione hili, maana kuwa mfuasi wa cult za kukamua kinyesi maiti inabidi uwe na akili za mwendawazimu. lolz.

Abdulhalim, bado hujajua tu dunia inaelekea wapi????? uliyategemea wewe haya leo wakati vita hii iilipoanza???. Je umeshajiandaa na ya kesho na keshokutwa, nasiki superpower anapeleka wengine 37,000, kulikoni????. Kutegemea more suprises sio kusupport ugaidi bali ni ku-analyse tu matokeo ya mambo ulimwenguni sawasawa na kupanga tu hesabu zako vizuri. Mbili na mbili wakati wote ni nne si vyengine. Na Isa bin Maryam hawezi kuwa Mungu, mtoto wa Mungu na hapo hapo akawa binadamu (Mtume na Nabii wa Mungu). Make your pick ndugu yangu, usijichanganye. Hakuwa Isa (Yesu) ila ni binadamu (Mtume na Nabii wa Mwenyezi Mungu) na kwa hakika wamepita Mitume wengi kama yeye kabla yake. Mithili yake mbele ya Mwenyezi Mungu ni kama Adam, kaumbawa na Allah kutokana na udongo, kisha Allah akasema "kuwa" na akawa. Kama yeye hana baba tu, basi Adam hana baba wala hana mama, nani basi ange-deserve more divinity??? Silimu usalimike ndugu yangu.

Kama nilivyosema sina matatizo ya kuanalyse mambo, nipo mzuri. Sina haja ya kujibu maelezo yako marefu yasiyo na mantiki, ninao muda mchache wa kuenjoy maisha badala ya kujibizana na watu wenye fikra muflis kama wewe, yaani ktk your right mind unaamini kuwa wataleban ni askari wa Mungu..lolz!

Nways kujibu mstari wako wa mwsiho ni kuwa ni rahisi kwa jua kuchwa mashrek na kuchomoza maghreb kuliko Abdulhalim bin Mwalim kuwa ktk statistics za waliosalimika (sijui na nini) lolz.


Save your time usijibu posts zangu maana sitazisoma. No. 3 kwenye ignore listing.
 
Back
Top Bottom