bartenderznz JF-Expert Member Joined Jul 18, 2016 Posts 398 Reaction score 195 Apr 7, 2019 #1 Iko wpi ile kampuni ya Marcon Kits ambayo inasemakana iliingia mkataba na Yanga wa kutengeneza vifaa vya michezo kwa thamani ya milioni 932 kwa mwaka? Sent using Jamii Forums mobile app
Iko wpi ile kampuni ya Marcon Kits ambayo inasemakana iliingia mkataba na Yanga wa kutengeneza vifaa vya michezo kwa thamani ya milioni 932 kwa mwaka? Sent using Jamii Forums mobile app
Darmian JF-Expert Member Joined Oct 1, 2017 Posts 17,310 Reaction score 46,806 Apr 7, 2019 #2 Yanga kuna siku wanavaa jezi zenye alama ya Nike na huwa najiuliza wale ni Nike kweli au mchina tu ameamua kuwafyatulia.
Yanga kuna siku wanavaa jezi zenye alama ya Nike na huwa najiuliza wale ni Nike kweli au mchina tu ameamua kuwafyatulia.