Mkushi Da Gama
JF-Expert Member
- Jun 23, 2015
- 3,692
- 4,995
Dragon Triangle
Mbona la 777/11 hujalitolea ufafanuzi?
Sent from my Compaq desktop-1997 Using Jamiiforums desktop app
Asantekwa kunielewa
kimeisha chaji, kimezimikaSwali linakuja NI VIPI KIBOKSI HICHO KIMESHINDWA KUTUELEKEZA WAPI NDEGE ILIPO?
Akilijibu ni tag pls.Umejitahidi kutuaminisha ...ila kutuaminisha kuwa 777 inagawanyika kwa 11 NI UONGO MKUBWA....try another time.
Hahahaha...sidhani kama atakunjuka aisee...Akilijibu ni tag pls.
Sent from my Compaq desktop-1997 Using Jamiiforums desktop app
Wakati wa vita kuu ya pili, mwaka 1945, ndege na manowari nyingi za kivita za USA, na za JAPAN, zilizama au kupotea katika eneo hili linaloitwa Dragon's triangle ambamo liko maili 70 kutoka pwani ya mashariki ya Japan, na maili 300 kuelekea kisiwa kidogo kiitwacho wake island., na maili 750 kutoka katika pwani ya Philippines. Eneo hili, ni pana zaidi ya lile la Bermuda na ni la hatari zaidi kuliko Bermuda. Triangle hii hubadilika badilika hata kufikia pwani ya nchi ya China. Eneo hili, kama ilivyo Bermuda triangle, Alien UFO zimekuwa zikionekana zikitokea baharini na kupotelea outer space. Ndege ya Malaysia, iliingia katika dimension tofauti na ile tunayoishi sisi kupitia Dragon's triangle. Ndege hiyo, ipo hapa duniani Lakini katika dimension au "plane" tofauti na tunayoishi wewe na Mimi,(dimension au plane of reality). Kwa mfano, wewe na Mimi, tunaishi pamoja viumbe visivyoonekana kwa macho kama vile Ghosts, na Demons, lakini tuko katika plane tofauti ndiyo maana hatuwaoni, na wao hawatuoni. Hutokea, Mara chache tukaingiliana katika dimensions zetu na kuwaona. Mawimbi ya redio, au signal yoyote kama vile ya simu, inaweza kusafiri katika dimensions hizi bila tatizo. Ndiyo maana simu za wahanga zilikuwa zinaita bila kupokelewa. Maana yake ni kuwa, "mwenye simu amesafiri katika " time"(time travel),hawezi kupokea simu inayoita ambaye haisikii.Tolea ufafanuzi zaidi
Wakati wa vita kuu ya pili, mwaka 1945, ndege na manowari nyingi za kivita za USA, na za JAPAN, zilizama au kupotea katika eneo hili linaloitwa Dragon's triangle ambamo liko maili 70 kutoka pwani ya mashariki ya Japan, na maili 300 kuelekea kisiwa kidogo kiitwacho wake island., na maili 750 kutoka katika pwani ya Philippines. Eneo hili, ni pana zaidi ya lile la Bermuda na ni la hatari zaidi kuliko Bermuda. Triangle hii hubadilika badilika hata kufikia pwani ya nchi ya China. Eneo hili, kama ilivyo Bermuda triangle, Alien UFO zimekuwa zikionekana zikitokea baharini na kupotelea outer space. Ndege ya Malaysia, iliingia katika dimension tofauti na ile tunayoishi sisi kupitia Dragon's triangle. Ndege hiyo, ipo hapa duniani Lakini katika dimension au "plane" tofauti na tunayoishi wewe na Mimi,(dimension au plane of reality). Kwa mfano, wewe na Mimi, tunaishi pamoja viumbe visivyoonekana kwa macho kama vile Ghosts, na Demons, lakini tuko katika plane tofauti ndiyo maana hatuwaoni, na wao hawatuoni. Hutokea, Mara chache tukaingiliana katika dimensions zetu na kuwaona. Mawimbi ya redio, au signal yoyote kama vile ya simu, inaweza kusafiri katika dimensions hizi bila tatizo. Ndiyo maana simu za wahanga zilikuwa zinaita bila kupokelewa. Maana yake ni kuwa, "mwenye simu amesafiri katika " time"(time travel),hawezi kupokea simu inayoita ambaye haisikii.
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu hiyo ya kusema ukigawa 777 inakuja 11 ni uongo mkuu tatizo watanzania wengi hawapendi kufikirisha akili watu wameshindwa hata kupiga hesabu
Hayo mafuta ya kitoka duniani kwenda sayari nyingime wametoa wapi?Ndege hiyo IMO katika Dragon's triangle. Dragon's triangle, kama ilivyo Bermuda triangle, ni milango kuelekea katika dimensions tofauti na tuliyopo. Yawezekana zikawa ni gateway kuelekea galaxies tofauti na ile tunayoishi sisi.
Sent using Jamii Forums mobile app