Ikizidi inakeraaaaaaaa

asante sana lara 1 maana leo hii mijanaume imeguswa wallet zao wanapiga makelele. Mbona zile post za Natalia mnakuja mbio na kushabikia?? Leo hela mnarukaaaa futi mia!
Heshima hela shikamooo kelele tu.
Heshima hela shikamooo kelele tu! UMESAHAU LAKI SI PESA! MAANA KUNA WENGINE WANATOA LAKI
 
hivi si ninyi mnataka haki sawa kwa wote maswala ya women impowerment, au nmesahau?
mwanaume anafanya kazi na mwanamke pia?
hivi ukiwa muongo shida mana hukumbuki ata uongo wa jana. hebu wachini hizo,,,hata kile kipindi cha
wanawake live EATV kinawafundisha wanawake kuchakarika, sio kila kitu nasubiri mumeo akuletee wee zoba
nyambafu
 

Hahahaaaaaa! laki tatu yote hiyoooo, nenda AMINA DESIGN YA KARIAKOO bei inapungua nusu kwa mali ileile!!!!!!!! Acha usharo wa kununulia quality center! Mgodi wangu uko Uturuki aiseee! Hapa nilipo nakuna kichwa hizi sikukuu zijazo sijui itakuwaje!
 
Hahahaaaaaa! laki tatu yote hiyoooo, nenda AMINA DESIGN YA KARIAKOO bei inapungua nusu kwa mali ileile!!!!!!!! Acha usharo wa kununulia quality center! Mgodi wangu uko Uturuki aiseee! Hapa nilipo nakuna kichwa hizi sikukuu zijazo sijui itakuwaje!

Mgodi!!!
 


Hapo nilipo bold ninakubaliana na wewe kwa kiasi kikubwa....!!
 
Hahahaaaaaa! laki tatu yote hiyoooo, nenda AMINA DESIGN YA KARIAKOO bei inapungua nusu kwa mali ileile!!!!!!!! Acha usharo wa kununulia quality center! Mgodi wangu uko Uturuki aiseee! Hapa nilipo nakuna kichwa hizi sikukuu zijazo sijui itakuwaje!
mgodi wako unatema lini jamani ? unipe hata nusu
 
wanachopigania wanawake ni haki sawa haki ya elimi, malazi, chakula, ajira na etc. na si unavyofikiria kama ni usawa unaofikiria wewe si mngeambiwa mzae lakini si huo wanachotaka ni haki
hahahahahahhahahahhahahaaa maji yakizidi mtavikana vyote! sasa umeanza kukana swala la cash! nilikuwa sijui kumbe mfumo dume bado ndo una mamlaka ya ku-supervise cash flow!
Yaani nyie na kelele zenu za usawa mnajifurahisha tu! usawa haupo hata siku moja
 
asante sana lara 1 maana leo hii mijanaume imeguswa wallet zao wanapiga makelele. Mbona zile post za Natalia mnakuja mbio na kushabikia?? Leo hela mnarukaaaa futi mia!
Heshima hela shikamooo kelele tu.

baelezee hao wasikwepe majukum, mwanaume hasifiwi sura anasifiwa kuingia bank kudeposit na kudrawal, full stop, haijalishi haki sawa bt kwenye hili nature shud stand,
 

Wee mtoto. Wakikusikia wanaharakati watakuroga. Wanasema, mwanamke na mwanaume ni sawa. Sasa wewe unazungumza kitu gani hapa? Hebu pekua makabrasha yako uone mijadala ilivyo mikali.
 

Hao wanaozungumza usawa wanatoka katika broken relationship(s). Wanawake waliotulia vizuri kwa wanaume zao hilo swali la usawa ni msamiati. Ha ha ha ha ha ha!
 

Lara1 bana..u never let me down baby....... sasa angalizo moja hapo kwene migodi....huwa kwa kwaida si lazima ufanye exploration ndo uanze kuchimba.... nafikiri mleta mada hayo yanamkutaga wakati aki explore...tatizo hapo ni uvumilivu tu...mgodi lazima uwekeze kwanza.....na kuwekeza kwenyewe ndo hukooo..kugegedwa buree kwa mda flani ndo mgodi uanza kutema mawe...au ? ebu nisahihishe
 
huduma ntunapata ila hata wanawake si mnapata huduma.haki sawa nusu kwa nusu hadi kufikia 2020.
 

Smile ulivyo achwa mwenge na card hukuwa nayo....kwa hiyo ulitembea mpaka tegeta kwa miguu..au ulifanyaje.
 
Mi nashangaa Lara1 anang'ang'ania kupewa hela as if yeye tu ndio anatumika. Kwani mwanaume hatumiki? Msiseme wanawake ndio wanaogegedwa, semeni wanaume na wanawake WANAGEGEDANA. Kwani mkiwa kwenye 6x6 mwanaume hatumiki? Au akili zenu ziko sivyo? Shwaini!
 
Hahahaaaaaa! laki tatu yote hiyoooo, nenda AMINA DESIGN YA KARIAKOO bei inapungua nusu kwa mali ileile!!!!!!!! Acha usharo wa kununulia quality center! Mgodi wangu uko Uturuki aiseee! Hapa nilipo nakuna kichwa hizi sikukuu zijazo sijui itakuwaje!
Nitafute mimi, fanya booking mapema kabla ya Ijumaa!
 

Basi baadhi ya wanawake mtakua waongo na wanafiki...ukiwa kitandani na mpenziwako unamwambia "Honey unajua mimi nimekupendea tu ulivyo....sijakupendea pesa wala nini."
Alafu ukija JF unapiga kelele ooh hanipi pesa..bla..bla bla... muwe waangalifu na maneno mnayotuambiaga.... wengine hatutaniwi mzee..ukiniambia hujanipendea pesa ..ahh nakutoa mswaki tu kila siku tena ntakupenda kweli..
 

Mi nilikacha mahusiano na mwanamke mmoja...Aliponikubali tu eti anaomba laki 3 nikasema lo! Kwishinet!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…