Kambi ya Fisi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,525
- 22,015
Kuna watu huwa wanapendwa na mapepo (roho chafu) hadi wanafikia hatua ya kuungana kimwili na roho hizo.
Hakuna kitu duniani chenye wivu mbaya zaidi ya mume au mke wa kiroho, ukifanya mapenzi kwenye ndoto hakuna kitakachofanya kazi kimwili kwako, maana upo chini ya utawala wa roho chafu.
Mara unapofanya mapenzi katika ndoto, unakuwa umeacha damu yako ndani ya pepo kama mwanaume na kama mwanamke pepo ameiacha damu yake ndani yako.
Popote unapokwenda, umebeba pepo ndani yako ndiyo maana kila unachojaribu kufanya kinashindikana. Hutaoa wala kuolewa na mwanadamu mwenzio chini ya jua bali utakuwa chakula cha mapepo siku zote.
Maisha yako yatafadhaika hadi uulize kama kweli Mungu yupo au la.
Ikiwa unaota au umewahi kuota ndotoni unafanya ngono, tafuta msaada wa kiroho ufunguliwe kabla hujatekwa mazima.
Maombi na maombezi sio huduma za kubeza, wapo waombaji wenye nguvu za Mungu wasio wasanii watakusaidia.
Hakuna kitu duniani chenye wivu mbaya zaidi ya mume au mke wa kiroho, ukifanya mapenzi kwenye ndoto hakuna kitakachofanya kazi kimwili kwako, maana upo chini ya utawala wa roho chafu.
Mara unapofanya mapenzi katika ndoto, unakuwa umeacha damu yako ndani ya pepo kama mwanaume na kama mwanamke pepo ameiacha damu yake ndani yako.
Popote unapokwenda, umebeba pepo ndani yako ndiyo maana kila unachojaribu kufanya kinashindikana. Hutaoa wala kuolewa na mwanadamu mwenzio chini ya jua bali utakuwa chakula cha mapepo siku zote.
Maisha yako yatafadhaika hadi uulize kama kweli Mungu yupo au la.
Ikiwa unaota au umewahi kuota ndotoni unafanya ngono, tafuta msaada wa kiroho ufunguliwe kabla hujatekwa mazima.
Maombi na maombezi sio huduma za kubeza, wapo waombaji wenye nguvu za Mungu wasio wasanii watakusaidia.