Good People
JF-Expert Member
- Aug 6, 2016
- 945
- 1,819
Leo ni siku ya mwisho kwa sisi tusiokua na Pesa za Kununua bia kwa Tsh 2500/= hivyo tulikua tunatumia Viroba kupata Hali ile ile atayeipata Mtu atakayekunnywa Bia tatu na Mimi nikinywa Viroba Vitatu.
Ila mzigo unaonekana Bado mwingi sana ile Unsold stock ambayo wapiga Marufuku hawajaiona.
Mi Niko napiga Viroba vyangu hapa.
Ila mzigo unaonekana Bado mwingi sana ile Unsold stock ambayo wapiga Marufuku hawajaiona.
Mi Niko napiga Viroba vyangu hapa.
