mawelewele
JF-Expert Member
- Sep 17, 2016
- 277
- 135
Hata mm naweza kuwa askari,tena kwa elimu yangu ya uzamili ktk mambo ya rasilimali watu,naweza kuwa polisi rank ya juu,hivyo wasijione wanafanya kazu kubwa,kuliko walimu na madaktari,posho ziondolewe kwa wote km sivyo walimu na madaktari nao wapewe.