Ikitokea Ukafa Ukiwa Usingizini!

Ikitokea Ukafa Ukiwa Usingizini!

kedekede

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2016
Posts
5,335
Reaction score
7,744
Poleni na mihangaiko,
Nimekaa na kuwaza,Tukilala tunafunga milango,je tunajisitirije tukilala?ikitokea ukafa ukiwa usingizini,yaani ulale usiamke mtu au watu watakao kukuta kwa mara ya kwanza watakukuta na hali ipi?Hasa watu wa mikoa ya joto!
 
Poleni na mihangaiko,
Nimekaa na kuwaza,Tukilala tunafunga milango,je tunajisitirije tukilala?ikitokea ukafa ukiwa usingizini,yaani ulale usiamke mtu au watu watakao kukuta kwa mara ya kwanza watakukuta na hali ipi?Hasa watu wa mikoa ya joto!

NAONA mkuu bange unayovuta ni ule msokoto mkubwa,,zamani kijiweni tulikuwa tunauita famtom,,, halafu kitu dry no mixer,si mchezo
 
NAONA mkuu bange unavuta msokoto ule mkubwa,,zamani kijiweni tulikuwa tunauita famtom,,,si mchezo
Sijawahi kuvuta bangi hata siku moja wala sigara ya kawaida,mirungi na powder situmii,imagine umekufa ukiwa usingizini!Marehemu babaangu alikufa Usingizini so inaweza kutokea hata kwangu au kwako!
 
anhaa lakini wakifa si wameshakufa..au unataka kumaanisha nini? Baridi/joto how?
Ukifa usingizini imagine unakutwa na mtu wa kwanza ukiwa na hali gani?umejisitiri kiasi gani/
 
Ukishakufa si ndo ushakufa?
why uumize kichwa kujiuliza vitu nje ya uwezo wako?

una uhakika utakufa ndani ya nyumba?
au utakutwa maiti nzima?

unajuaje utaungua usipatikane hata majivu?
au ajali ya boti au meli maiti yako isipatikane?

Unajiuliza hayo tu mbona mengine hujiulizi?
 
Ukifa usingizini imagine unakutwa na mtu wa kwanza ukiwa na hali gani?umejisitiri kiasi gani/
inategemea na ulivyojifunika wakati wa kulala au pengine hujajifunika kote... au we unazungumzia kujisitiri na nguo
 
Ukishakufa si ndo ushakufa?
why uumize kichwa kujiuliza vitu nje ya uwezo wako?

una uhakika utakufa ndani ya nyumba?
au utakutwa maiti nzima?

unajuaje utaungua usipatikane hata majivu?
au ajali ya boti au meli maiti yako isipatikane?

Unajiuliza hayo tu mbona mengine hujiulizi?
Me naona aibu nikifa usingizini nikiwa uchi,bora kuungua,kuzama baharini au kugongwa na gari,maana yake ni kwamba nitakuwa nimetoka najielewa maana nimetoka nyumbani!
 
Mbona ukiumwa doctor nesi Na anayekuuguza wanaona kila sehemu ya mwili wako Na kesho unaonana nao,sembuse umekufa!
Ukiwa unatibiwa unajitambua na ndio maana unakuwa na Dr wako,imagine huwezi kusema hapo hapana wanakukuta watu wa5 duh!
 
Back
Top Bottom