Ikitokea hawa wakawa viongozi wako je utapenda??

KakaKiiza

JF-Expert Member
Feb 16, 2010
11,623
8,707
Siasa siku zote ni mchezo mchafu kama wahenga wasemavyo sasa mimi ninauliza hivi ikitukea hawa wakawa viongozi wako utatarajia nini??Katika serikali ijayo??

  • RA-Waziri wa Fedha mipango na Uchumi!
  • EL-Waziri Mkuu
  • YManji-Waziri waviwanda na Bashara
  • Y.Makamba-Waziri wa habari
  • A.Kinana-Waziri wa ulinzi
  • Shimbo-Waziri wa Mambo ya ndani
  • L.masha waziri wa mambo ya nje!:peep:
  • Hii team inaweza kuliongoza Taifa letu??kwa speaker tuliyenaye??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom