Mtende
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 6,385
- 7,295
mtoto alikua amelala chumbani kwake, ghafla akakurupushwa na sauti za migongano na miguno zilizokua zinatokea chumbani kwa wazazi wake, kwa mbali akasikia sauti ya baba yake inasema "ikisimama panda" mtoto alilala na maswali mengi sana kichani then asubuhi wakiwa wamekaa meazani wanakunywa chai akamuuliza baba yake
mtoto:dad is there any daladala inside your room?
baba:not at all, why are you asking?
mtoto:last night i heard you told mumy ikisimama panda
baba na mama:!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
mtoto:dad is there any daladala inside your room?
baba:not at all, why are you asking?
mtoto:last night i heard you told mumy ikisimama panda
baba na mama:!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!