Head current
JF-Expert Member
- Jan 17, 2013
- 479
- 128
Jamaa katembelewa na kifo mambo yalikuwa hv; kifo:leo ni zamu yako nimekuja kukuchukua, si unaona kwenye list jina lako ni la kwanza? jamaa: sw basi karibu chakula ule ulale asbh ndo unichukue! kifo akapiga msosi wa nguvu na kulala! jamaa kuona kifo kalala akafuta jina lake lililokua juu na kuliandika mwisho kbs! asbh kifo alipoamka mambo yakawa hivi; kifo: nashukuru kwa ukarimu wako ulionionyesha jana, sasa sitakuchukua ntaanza na jina la mwisho kabisa............kilichoendelea cjui!!