Bambanza jr.
JF-Expert Member
- Aug 6, 2011
- 355
- 36
Siku1 kifo kilimtembelea jamaa1 mazungumzo yakawa hivi KIFO:leo nimekuja kuchukua roho yako si unaona jina lako lipo mwanzo JAMAA:mbona mapema sana? Basi kaa kidogo tule ndo uichukue Baada ya kifo kukubali jamaa akamwekea dawa ya usingizi kwenye chakula kwa siri, kweli kifo alilala na jamaa akaweka jina lake mwisho wa karatasi. Kifo alipoamka akamwambia "nashukuru sana kwa ukarimu rafiki hivyo wewe nimeahirisha ngoja nianzie jina la mwisho kabisa..."