mwehu ndama
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 1,413
- 5,150
Jonathan ikangalombo sio mchezaji wa soka Bali ni tapeli uliyeamua kujipatia kipato kupitia mchezo wa soka.Hivyo natoa wito kwa Eng.Hersi kumkamata huyu tapeli nakumfukuza mara moja..!!
Daima mbele , nyuma mwiko
Daima mbele , nyuma mwiko