Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Wakulu, wajukuu na vijana wangu.
Huyu mkoloni wangu kajipendekeza kuingiza mshahara mapema mwezi huu. Ntautandikaje weekend hii? Nawakaribisheni nyote hasa wale wapenzi wa ulabu. Bila kujali chochote
Tukajinafasi. Tupige ulabu mpaka kieleweke.... Mabinti nawatahadharisha msije mkazidiwa mkaaibika kama CUTE alivyoingia kwenye anga zangu.
My dear Kongosho, come this way
Nyie Yummy na cacico, acheni kumgombea Erickb52, jiungeni nami kuupiga mtungi.
Na wewe charminglady njoo umwone Judgement alivokuwa anakudanganya wakati mnachat
Mwalimu gfsonwin njoo ukaone kanafunzi kako nlikokafundisha kupiga ulabu kabla hakajaanza la kwanza
Hommie Kaizer, hivi leo ni Jumangapi? Umpitie Bishanga uje naye.
Thanks GOD Its Friday!!!
Huyu mkoloni wangu kajipendekeza kuingiza mshahara mapema mwezi huu. Ntautandikaje weekend hii? Nawakaribisheni nyote hasa wale wapenzi wa ulabu. Bila kujali chochote
Tukajinafasi. Tupige ulabu mpaka kieleweke.... Mabinti nawatahadharisha msije mkazidiwa mkaaibika kama CUTE alivyoingia kwenye anga zangu.
My dear Kongosho, come this way
Nyie Yummy na cacico, acheni kumgombea Erickb52, jiungeni nami kuupiga mtungi.
Na wewe charminglady njoo umwone Judgement alivokuwa anakudanganya wakati mnachat
Mwalimu gfsonwin njoo ukaone kanafunzi kako nlikokafundisha kupiga ulabu kabla hakajaanza la kwanza
Hommie Kaizer, hivi leo ni Jumangapi? Umpitie Bishanga uje naye.
Thanks GOD Its Friday!!!
Last edited by a moderator: