Ijumaa Yangu..... Jiunge Nami!!

Asprin acha kudanganya watu, umenifanya nimeamka mgonjwa kwa 3some ya jana, halafu unawaambia watu kuwa niliingia mitini??? lol! ndio naamka mwenzio kwa uchovu, ila kha big up to u, kweli ng;ombe hazeeki bandama nimeamini jana, was sooooooo sweet, mi like it kha!

mamito @Blaki Woman upo, Asprin babu yangu mupenzi yuko juu kama kibo na mawenzi, jana kweli alinikagua mjukuu wake, akapitisha vigezo, na chata ya TBS nikapata! lol! ndio naamka! kha!

Mrembo wangu cacico, ndo nini umeamua kutoa siri za ndani namna hii? Utaniletea matatizo ujue...:A S-rose:
 
Last edited by a moderator:
Asprin acha kudanganya watu, umenifanya nimeamka mgonjwa kwa 3some ya jana, halafu unawaambia watu kuwa niliingia mitini??? lol! ndio naamka mwenzio kwa uchovu, ila kha big up to u, kweli ng;ombe hazeeki bandama nimeamini jana, was sooooooo sweet, mi like it kha!
:A S-rose::A S-heart-2::A S kiss::whoo::mimba::bathbaby::amen::welcome:

mamito @Blaki Woman upo, Asprin babu yangu mupenzi yuko juu kama kibo na mawenzi, jana kweli alinikagua mjukuu wake, akapitisha vigezo, na chata ya TBS nikapata! lol! ndio naamka! kha!
:A S-omg::welcome:

Homie Asprin leo ndo ile siku....naam...usimumunye wala uchiteme njomba la sivyo utamkosa bure Blaki Womani. Na mida ndo hiyo
Nitakuangalizia BADILI TABIA hadi abadilike, cacico ntamtuma dukani....
Hommie Kaizer unaufaham huu msemo "Siku ya kufa nyani miti yote huteleza"?:playball::hurt:

hujafika bado unajadili nini hapo na afrodenzi nakupa 10 min bill utaikuta kaunta kwa Joy
:A S-heart-2::lalala:

yamekua haya? Yaani mume wangu wa ndoa unathubutu kuongea maneno haya.....???????? Wallahi narudi kwetu
:sorry::busu

BADILI TABIA bora ulivyomaliza round ya kwanza ukaamua kupumzika, mwenzio nipo hoiiiiiiii, huyu babu hafai hata kwa kunuia tu! lol! Asprin mmhhhhh!
Sssshhhhiiiiiiiii:washing:

\

yaani ndio mie nimeshanga eti msiri wangu wa moyoni anatoa siri lolz! but cacico ile ya mfyonzo darasa lipo jioni ya leo mwambie sweetlady na Kaunga wasikose mamito.

PIa mwambie Asprin kuwa leo barabara ya 12 palikuwa patupu mtaa mzima hakuna watu kisa eti watu wame safiri kwenda arusha kwa ajili ya kumfunda Erotica kikoa. na mwambie afrodenzi namuachia Kaizer wangu kwa muda tu na kazi za kumfanyia ampikie chakula na kuosha vyombo. asideki chumbani wala, wala kumfulia nguo wala asiingie chumbani kutandika. funguo za ndani nimemwachia Kongosho ila za chumbani kwangu anazo Kaizer. umeskia mamii
Hii kesi yangu na wewe hata utetewe na Kaizer, hautashinda.:fish2:

Halafu huyu babu sijui anatumia mkunyati????
Sie tumeamka hoi yeye bado anadunda tu....
Ndo maana round ya asubuhi niliikimbia....
We BADILI TABIA weweeeee...! We subiri tu>>>:grouphug:
 
Last edited by a moderator:
  • Teamo+Mkuu umeamua kuhamia hapa???!!! Mpwa alitiririka balaa!!!........siku hizi hataki kurudi kitandani...chezeya Wazo wewe!!!!
 
mende, sema pole pole Asprin asisikie

Kipenzi wangu wa rohoni BADILI TABIA hata nikisikia sina la kufanyua. Limbwata lako nimelikubali na nalitaka tena....Ngoja nijipongeze kiduchu na kijana wangu Erickb52, kuwa na wewe ni sawa na Obama kuwa na Michelle.

attachment.php
 
Last edited by a moderator:
15 Reactions
Reply
Back
Top Bottom