Wanasayansi wa NASA ,wanasema jua liliumbika takriban miaka bilioni 4.59 iliyopita. Likiwa limeumbwa kwa mchanganyiko wa gesi za hydrogen na helium,uso wa jua una nyuzi joto 5,500'C na nyuzi joto milioni15.5 'C katikati yake. Jua hubeba asilimia 99 ya uzito wote wa mfumo wa solar. Wastani Jua lipo umbali wa kilometa Milioni 150 hivi, lakini Mwanga wa jua husafiri kiasi cha dakika nane tu kuifikia sayari ya dunia.Inaelezwa kuwa,
Kulitazama jua bila vifaa maalum kwaweza kuathiri vibaya macho ya mwanadamu.
Na bila jua hakuna uwezekano kwa kiumbe yoyote mwenye mwili kuishi juu ya nchi.
Kulitazama jua bila vifaa maalum kwaweza kuathiri vibaya macho ya mwanadamu.
Na bila jua hakuna uwezekano kwa kiumbe yoyote mwenye mwili kuishi juu ya nchi.