Duh hizo nyoka mwaka jana zimenisumbua sana. Nikapata ajari za ajabu ajabu nyingi lakini npo mzima.Kilichofata nikajisalimisha kwa YESU mzima mzima, sasa nipo full. Hayo manyoka nakili hayawezi kunitokea tena. Nimepata maneno yako niliyokuwa sina majibu nayo!, loh tulio wa Mungu hatutakufa kwa wachawi nami nitasimulia kwa upande wangu binafsi!!!!!!!!!!!!!!!!1