Mambo yaha yananisumbua sana kimaisha na mtu wangu Wa karibu najitaidihidi sana kumkwepa lakuni bado tu nami shiriki naiogopa lakini mungu yupo pamoja nami.
Nimekupata nikiamini MziziMkavu alimaanisha hivyo.
Nadhani ni wakati safari ya kuanza kutafiti matumizi ya Majina ya Mama zetu badala ya za Baba maana yawezekana haya majina ya Baba zetu 50% zingine Feki.
Nimekupata nikiamini MziziMkavu alimaanisha hivyo.
Nadhani ni wakati safari ya kuanza kutafiti matumizi ya Majina ya Mama zetu badala ya za Baba maana yawezekana haya majina ya Baba zetu 50% zingine Feki.