Uzi maalumu wa Mimea na Magonjwa inayotibu.

bachelor sugu

JF-Expert Member
Jan 30, 2018
2,689
3,641
Amani ya mola daima iwe juu yenu wakuu.

Nikienda moja kwa moja kwenye mada ningewaomba tuelimishane na kupeana ushuhuda juu ya mimea mbalimbali(Ya asili ama ya kupandwa) na magonjwa mbalimbali inayoyatibu.

Itapendeza zaidi kama mtu ataleta mimea ambayo ameshaitumia na kutupa ushuhuda namna ilivyomtibu na hii itatusaidia kutufahamisha kiwango sahihi cha dozi tunachopaswa kutumia na muda sahihi wa kutumia ili kuweza kutuponyesha maradhi tunayohitaji kujitibu.Tukumbuke tu kuwa magonjwa yanaongezeka kila kukicha na yamekuwa changamoto kubwa sana katika maisha yetu na bahati mbaya zaidi hakuna tunachoweza kufanya ktk maisha haya pindi tunapokuwa wagonjwa hivyo tunahitaji kuwa serious katika Uzi huu kwa manufaa yetu na familia zetu.Binafsi nitaelezea tiba nilizozitumia na kuniponya katika maradhi haya yafuatayo;

Mmea wa 1; ALLOE VERA.

Magonjwa ;Malaria,Homa ya matumbo(Typhoid),Mzunguko wa damu(Blood circulation),UTI

MAANDALIZI

Majani 2 au 3 ya Alloe vera yenye maji ya kutosha,hata ukizidisha majani hayo hakuna madhara,
Yaoshe vizuri na Yakate vipande vidogo vidogo kisha yatumbukize kwenye chupa yenye maji safi na salama kwa kunywa yenye ujazo wa Lita 1 kisha funga chupa na uyaache kwa masaa 12 ili juice ya alloe vera iweze kujichuja na kuchanganyika na maji.
Baada ya muda huo chuja kikombe kidogo cha chai kimoja na unywe nusu saa kabla ya kula mara3 kwa siku kwa muda wa Siku 3.Hivyo ukiona inakaribia kuisha ile lita1 basi tengeneza nyingine kwa kutumia majani mapya ya alloe vera ili uweze kukamilisha dozi ya siku 3

Angalizo:Lazima uharishe katikati ya dozi au ukiwa unamaliza na hiyo kwangu ndio dalili kuwa dawa imefanya kazi hivyo usiogope.

Hakika ukikamilisha hiyo dozi magonjwa niliyotaja hapo nilienda HINDU MANDAL hospital na kupimwa FULL BLOOD PICTURE sikuonekana nina chochote katika hayo.

Mmea wa 2: MPARACHICHI(Majani yake yale malaini)

Unatibu;Jino linalouma hasa yale yaliyotoboka.

MAANDALIZI; Chuma majani yale mateke(malaini) ya mti wa mparachichi kisha yaoshe vizuri.

MATUMIZI; Tafuna majani hayo walau yawe ya kutosha kuanzia kumi(10)na kuendelea kisha mate yenye maji hayo uwe kama unasukutua kwa kumpeleka zaidi upande wenye jino linalouma kwa muda wa dk 5-10 kisha tema na usukutue.RUDIA zoezi hilo japo mara 3 kwa awamu moja.Fanya hivyo kwa walau siku 3 mfululizo na endelea kadri utakavyoona inakusaidia.

Hakika kuna siku niliumwa na jino na kukesha bila kufumba macho hata dakika moja na nadhani Salio wengi tuna jua jino linaumaje ila yangu nimtumie dawa hii leo hii ni karibu mwaka sijawahi kusikia hata kwa mbali jino likiniuma tena.

Huu ni ushuhuda wa mimea hiyo jinsi ilivyonitibu kwa viwango hivyo vya dozi.

Maumivu yakizidi muone daktari.

Naomba KUWASILISHA

Sincerely,Bachelor Sugu.





Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngoja niandike dawa nilizotumia mwenyewe
1.Tafuna mbegu 10 za mlonge, malaria itaondoka

2.Kata papai na maganda ,nimetibu vidonda nvyangu vya tumbo

3.Natural clay , unatibu magonjwa yote ya ngozi kasoro kansa

4.Ubani wa kutafuna (zuhra) unatibu U.T.I sugu

5.Mdaula ya unga inatibu ngiri

6.Magome ya mwembe au mkorosho unatibu jino

7.Vitunguu saumu kulala navyo vidole vya miguuni,unaamka huna mafua

Kwa ushauri bure nicheki 0713-039875
 
Ngoja niandike dawa nilizotumia mwenyewe
1.Tafuna mbegu 10 za mlonge, malaria itaondoka

2.Kata papai na maganda ,nimetibu vidonda nvyangu vya tumbo

3.Natural clay , unatibu magonjwa yote ya ngozi kasoro kansa

4.Ubani wa kutafuna (zuhra) unatibu U.T.I sugu

5.Mdaula ya unga inatibu ngiri

6.Magome ya mwembe au mkorosho unatibu jino

7.Vitunguu saumu kulala navyo vidole vya miguuni,unaamka huna mafua

Kwa ushauri bure nicheki 0713-039875
Mkuu hizo namba 3 na 5 ni vitu gani?
Clay natural
Mdaula ya unga

Halafu kidogo ungeelezea na kiasi chake na namna ya kuvitumia watu wangeelewa vizuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hizo namba 3 na 5 ni vitu gani?
Clay natural
Mdaula ya unga

Halafu kidogo ungeelezea na kiasi chake na namna ya kuvitumia watu wangeelewa vizuri

Sent using Jamii Forums mobile app
,Natural Clay ni huu udongo tiba wa asili pichani na haya ndo maelezo yake. Mdaula ni dawa inauzwa maduka ya asili
 

Attachments

  • udongo.PNG
    udongo.PNG
    46 KB · Views: 100
  • UDONGO.jpeg
    UDONGO.jpeg
    39.4 KB · Views: 88
Ngoja niandike dawa nilizotumia mwenyewe
1.Tafuna mbegu 10 za mlonge, malaria itaondoka

2.Kata papai na maganda ,nimetibu vidonda nvyangu vya tumbo

3.Natural clay , unatibu magonjwa yote ya ngozi kasoro kansa

4.Ubani wa kutafuna (zuhra) unatibu U.T.I sugu

5.Mdaula ya unga inatibu ngiri

6.Magome ya mwembe au mkorosho unatibu jino

7.Vitunguu saumu kulala navyo vidole vya miguuni,unaamka huna mafua

Kwa ushauri bure nicheki 0713-039875
Namba 2

" Kata papai na maganda, nimetibu vidonda vyangu vya tumba "

Hapa sijakupata kabisa, umelikataje hilo papai ? ni lile tunda au nini ?
Ulivyo kata ulilitumiaje ?
Na kwa kiwango gani ?
Ni papai bichi au bivu ?
Au mti wake ?


Hebu tufafanulie kidogo hapa Mkuu.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Namba 2

" Kata papai na maganda, nimetibu vidonda vyangu vya tumba "

Hapa sijakupata kabisa, umelikataje hilo papai ? ni lile tunda au nini ?
Ulivyo kata ulilitumiaje ?
Na kwa kiwango gani ?
Ni papai bichi au bivu ?
Au mti wake ?


Hebu tufafanulie kidogo hapa Mkuu.


Sent using Jamii Forums mobile app
ULCER TREATMENT


Get raw pawpaw and wash it. It must be raw, not ripe

Do not peel it and do not remove the seeds.

After washing the outside neatly, slice it without peeling it into small small pieces. The cutting should be small like sugar cubes.

Put all the small pieces of the raw pawpaw into any clean container.

Fill the container with water to stop at the same point the sliced pawpaw stopped.

Leave the pawpaw in the water for four days. For example if u soak it on a Monday, count Tuesday, Wednesday, Thursday and Friday will be the fourth day.

On the Fourth day, the water will be looking white in colour. Seive it and throw away the pawpaw and the water becomes your cure for ulcer.

DOSAGE: drink half a glass of the pawpaw water every morning, afternoon and evening. You will no longer feel those ulcer pains because it will heal the wounds inside that are causing the pain.

This morning, afternoon and evening drinking of the pawpaw water can continue for weeks and months depending on how severe the ulcer is. It is not relief. It is a cure.

Additional note: an ulcer is an internal wound usually in the stomach or intestines.
Common causes of ulcer are infection with the bacterium Helicobacter pylori (H. pylori) and long-term use of aspirin and certain other painkillers, such as ibuprofen (Advil, Motrin, others) and naproxen sodium (Aleve, Anaprox, others). Stress and spicy foods do not cause peptic ulcers. However, they can make your symptoms worse.

Pls avoid taking strong pain killers without prescription. If you take time to read the side effects you will see that the drugs for pain relief cause ulcer or wounds in the body.

This treatment mentioned is not a reason not to go to hospital, because not all internal pains are ulcers.

Let someone know and help someone get cured today.
Important to share.
 
Amani ya mola daima iwe juu yenu wakuu.

Nikienda moja kwa moja kwenye mada ningewaomba tuelimishane na kupeana ushuhuda juu ya mimea mbalimbali(Ya asili ama ya kupandwa) na magonjwa mbalimbali inayoyatibu.

Itapendeza zaidi kama mtu ataleta mimea ambayo ameshaitumia na kutupa ushuhuda namna ilivyomtibu na hii itatusaidia kutufahamisha kiwango sahihi cha dozi tunachopaswa kutumia na muda sahihi wa kutumia ili kuweza kutuponyesha maradhi tunayohitaji kujitibu.Tukumbuke tu kuwa magonjwa yanaongezeka kila kukicha na yamekuwa changamoto kubwa sana katika maisha yetu na bahati mbaya zaidi hakuna tunachoweza kufanya ktk maisha haya pindi tunapokuwa wagonjwa hivyo tunahitaji kuwa serious katika Uzi huu kwa manufaa yetu na familia zetu.Binafsi nitaelezea tiba nilizozitumia na kuniponya katika maradhi haya yafuatayo;

Mmea wa 1; ALLOE VERA.

Magonjwa ;Malaria,Homa ya matumbo(Typhoid),Mzunguko wa damu(Blood circulation),UTI

MAANDALIZI

Majani 2 au 3 ya Alloe vera yenye maji ya kutosha,hata ukizidisha majani hayo hakuna madhara,
Yaoshe vizuri na Yakate vipande vidogo vidogo kisha yatumbukize kwenye chupa yenye maji safi na salama kwa kunywa yenye ujazo wa Lita 1 kisha funga chupa na uyaache kwa masaa 12 ili juice ya alloe vera iweze kujichuja na kuchanganyika na maji.
Baada ya muda huo chuja kikombe kidogo cha chai kimoja na unywe nusu saa kabla ya kula mara3 kwa siku kwa muda wa Siku 3.Hivyo ukiona inakaribia kuisha ile lita1 basi tengeneza nyingine kwa kutumia majani mapya ya alloe vera ili uweze kukamilisha dozi ya siku 3

Angalizo:Lazima uharishe katikati ya dozi au ukiwa unamaliza na hiyo kwangu ndio dalili kuwa dawa imefanya kazi hivyo usiogope.

Hakika ukikamilisha hiyo dozi magonjwa niliyotaja hapo nilienda HINDU MANDAL hospital na kupimwa FULL BLOOD PICTURE sikuonekana nina chochote katika hayo.

Mmea wa 2: MPARACHICHI(Majani yake yale malaini)

Unatibu;Jino linalouma hasa yale yaliyotoboka.

MAANDALIZI; Chuma majani yale mateke(malaini) ya mti wa mparachichi kisha yaoshe vizuri.

MATUMIZI; Tafuna majani hayo walau yawe ya kutosha kuanzia kumi(10)na kuendelea kisha mate yenye maji hayo uwe kama unasukutua kwa kumpeleka zaidi upande wenye jino linalouma kwa muda wa dk 5-10 kisha tema na usukutue.RUDIA zoezi hilo japo mara 3 kwa awamu moja.Fanya hivyo kwa walau siku 3 mfululizo na endelea kadri utakavyoona inakusaidia.

Hakika kuna siku niliumwa na jino na kukesha bila kufumba macho hata dakika moja na nadhani Salio wengi tuna jua jino linaumaje ila yangu nimtumie dawa hii leo hii ni karibu mwaka sijawahi kusikia hata kwa mbali jino likiniuma tena.

Huu ni ushuhuda wa mimea hiyo jinsi ilivyonitibu kwa viwango hivyo vya dozi.

Maumivu yakizidi muone daktari.

Naomba KUWASILISHA

Sincerely,Bachelor Sugu.





Sent using Jamii Forums mobile app
Uzi mzuri kabisa bachelor sugu.

Ila tafuta mke sasa mkuu,ili ukiumwa aweze kukuandalia dawa hizo( joke

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngoja niandike dawa nilizotumia mwenyewe
1.Tafuna mbegu 10 za mlonge, malaria itaondoka

2.Kata papai na maganda ,nimetibu vidonda nvyangu vya tumbo

3.Natural clay , unatibu magonjwa yote ya ngozi kasoro kansa

4.Ubani wa kutafuna (zuhra) unatibu U.T.I sugu

5.Mdaula ya unga inatibu ngiri

6.Magome ya mwembe au mkorosho unatibu jino

7.Vitunguu saumu kulala navyo vidole vya miguuni,unaamka huna mafua

Kwa ushauri bure nicheki 0713-039875
Hapo namba 7 hivyo vitunguu swaumu unaviwekaje au unafunga na kitambaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom