Nani aliekua na wazo la kuanzisha mtandao huu? usinambie wote wawiliHapana.
Member wengi wangelitambua hii hoja wasingekusumbua.Samaritan iliyo mpya ni ID ila sio MIMI..
Na kuwa mpya JF haina maana sijui chochote.
Take it easy mkuu...Joseverest umeniandama.
Maxence MeloNani aliekua na wazo la kuanzisha mtandao huu? usinambie wote wawili
bulaiagwee
Mbona mimi hunitajiWapo wengi sana,Bubu Ataka Kusema=BAK na wengine wa miaka hiyo.
Yeah hili linawezekana, kuna watu ni watembeleaji wa miaka mingi wa jf ila wamejiunga juzi tuNimejikuta nashindwa kuamini kabisa kwamba wewe ni mgeni rasmi JF umejiunga jana 18 October 2017. Vinginevyo uliutumia muda wako vizuri kufuatilia kwa umakini mijadala, hoja na mambo mbalimbali kabla ya kujiunga rasmi. Na una uwezo wa kujenga hoja.
Usihofu, mie ni mtu nnaejulikana mkuu!!!