The hammer
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 2,381
- 1,760
- Thread starter
- #21
Ok yote na mengine yatakayapatikana yataunganishwa.Ni historia nzuri sana, naamini kila mpare atampa na mwanae asome angalau aelewe asili yake.
Tafadhali kati ya viongozi wakuu ktk nchi hii kutoka kabila hili la wapare usimsahau mzee MSANGI NARUNDU ELANGWA SHAIDI yeye alikuwa ni Inspector General wa Police (IGP) wa kwanza Tanzania, akitokea Vudee na Chome kule Same. Pia kulikuwa na mzee Elifadhili Mchome, huyu alikuwa kati ya makamishna wa kwanza wa Magereza na alianzisha Chuo cha Magereza Kiwira 1980's.
Bless you.
Queen Esther
thnx