Sukari Yenu
JF-Expert Member
- Dec 8, 2014
- 1,698
- 1,253
Until the lion learns to write, all authors will glorify the hunters.
Hahaha pole niligundua kuwa upo kwenye ban pole sana.Secret Star, nimerudi, nilikuwa kwenye ban flani hivi! Anyway, nasubiri kwa hamu hekima yako!
Hahahaha Asante sana kwa kweli!Hahaha pole niligundua kuwa upo kwenye ban pole sana.
Naandaa somo hapa, Juu ya 'Amun' Nadhani katika huyu ndipo tutakapoanza kujua maana ya Dini na asili yake.Hahahaha Asante sana kwa kweli!
Ok tuko pamojaNaandaa somo hapa, Juu ya 'Amun' Nadhani katika huyu ndipo tutakapoanza kujua maana ya Dini na asili yake.
Wish jioni tutachangia mawazo pamoja juu ya hili.
Kwa uandishi huo nadhani we ndo utakua mpumbavuWewe ni mpumbavu hakuna kitabu duniani kinaweza kua bora kuliko quraan.
Quraan aisee huyu ni punga kabisaKwa uandishi huo nadhani we ndo utakua mpumbavu
Mkuu siyo North pekee, pia South America wapo hadi leo.Kwani RED INDIANS WA NORTH AMERICA WAKO WAPI? na AUSTRALIA wale watu wa asili wako wapi? MZUNGU NENDA NAE KWA HEKIMA NA BUSARA PAMOJA NA UFAHAMU WA HALI YA JUU. ..
Soma swali, hilo ni Jibu, anyway tuendelee na AMUN RA,Mkuu siyo North pekee, pia South America wapo hadi leo.
Australia hao Aborigians wapo hadi leo pia.
Unaposema 'wako wapi' unamaanisha walifyekwa wakaisha, au unamaanisha nini?