Ijue Historia ya Firauni na uongo aliozushiwa

Wewe utapotea kwa kufikiri ni nguvu za giza, Nimrod na mafarao kwa kuwa walikuwa ni watu weusi, wakaitwa ni mashetani na antichrist! Lazima uamke na ujitambue! Uwoga ni mfungwa wa milele!
Mimi ni muislam.nimekuuliza hyo miungu ya kimisri imeumba nini?
 
Wooow safi kumbe ni hivi! Hii ni moja ya point kubwa nilizokuwa natamani kuzijua! Unaona hapa?,
Kumbe Mungu RA, OSIRIS, na ISIS walihama wakaenda upande wa Waisrael na sisi wakatuachia Laana ambayo ilianzia kwenye mapigo saba!
Kifupi ile laana bado haijatoka kwenye taifa la Misri hadi sasa!
Musa aliiba Uwezo wetu akakimbia nao!
Na ndiyo maana tangu enzi hizo hadi sasa, vitu muhimu kama Teknolojia, na maarifa mbalimbali Vilikufa hapa Africa na kuhamia kwa Wazungu, Wakati kale vilikuwa Africa na Wazungu walikuja kujifunza kwetu!
Rejea Baba wa imani Abraham alikuwa anatoka kwao Huko Asia anakuja Misri sababu Ndiyo ulikuwa mji mkubwa uliokuwa umeendelea zaidi kiteknolojia na kibiashara!
Pia Wagiriki ambao walipenda sana kwenda misri kwa ajili ya kupata maarifa na Ujuzi!
Miungu inahama?
 
Mimi ni muislam.nimekuuliza hyo miungu ya kimisri imeumba nini?
Soma Tena hapo juu nimeshakwambia.

Kuna Thoth Sisi tunamtambua huyu kama Mungu Mwezi!
Unadhani kwanini nyie Waislam mnauheshimu sana Mwezi kuliko Jua?
Unajua kipi kilicho nyuma?
Unadhani kwanini Dini za Ulimwenguni
Kama Uislam, Ukristo, Hindu, Judism na mabudha
Wote wanamtaja Amen/Amun/Amon mwisho wa sala zao?
Unajua Asili Ya Amen?
Unadhani nini maana yake?
 

Attachments

  • Screenshot_20170423-042730.png
    Screenshot_20170423-042730.png
    33.3 KB · Views: 31
kuna kitu hata mimi najiuliza.
wakati wa hukumu ya Yesu walitupiana sana mpira Herode/pilato
pilato nafikiri alikua Mtaliano
herode mfalme wa wayahudi.
halafu Yesu ni mgalilaya sasa hapo najiuliza wagalilaya wana tfauti gani na wayahudi?
Herode ni cheo cha mtawala wa wayahudi wakati wa utawala wa warumi. Ndo maana tunaona kuna Herode aliyeamrisha watoto wauawe wakati wa kuzaliwa Yesu na yule wa wakati wa kuhukumiwa Yesu Kristo.
Yesu alipoondoka Nazareth alielekea Galilaya na maeneo mengineyo akiwapatia watu habari njema. Wote Yesu na Herode ni wayahudi. Herode alikuwa makao makuu ya wayahudi huko Yerusalemu. Hivi tukisema mgalilaya ni kuonyesha alitokea Galilaya na kwa walioishi Galilaya walmwita Mnazareth kwa kuwa alitokea Nazareth.

Kuna yule Muethiopia wa Kirene ambaye tunamuita Simoni Mkirene aliyemsaidia Yesu Msalaba (huyu waislamu husema alibadilishiwa sura na Yesu na Yesu akatokomea kusikojulikana, ambapo sisi huwajibu Mungu wetu si mDanganyifu) pia kuna yule mwanamke aliyeishi huko samaria ambapo ni tunamwita mwanamke msamaria n.k.
 
Soma Tena hapo juu nimeshakwambia.

Kuna Thoth Sisi tunamtambua huyu kama Mungu Mwezi!
Unadhani kwanini nyie Waislam mnauheshimu sana Mwezi kuliko Jua?
Unajua kipi kilicho nyuma?
Unadhani kwanini Dini za Ulimwenguni
Kama Uislam, Ukristo, Hindu, Judism na mabudha
Wote wanamtaja Amen/Amun/Amon mwisho wa sala zao?
Unajua Asili Ya Amen?
Unadhani nini maana yake?
Sisi tumekatazwa.kuamini miungu mingi.mungu ni mmoja.na ndiye ameumba jua na mwezi na nyota.vipi ninyi muuite mwezi ni mungu?haya mafundisho mnayapata wapi?
 
Taurati ilikuwa wakati wa Musa na kuendelea, baada ya Yesu haifuatwi
Torati. Ndo maana Yesu alipoletewa mzinzi na kuambiwa Musa aliamuru apigwe mawe aliwaambia asiye na dhambi awe wa kwanza kumpiga huyo mzinzi. Kifupi wote waliondoka, inamaanisha kila mtu ana makosa kwa si sawa kumchinja mwingine.
Sheria za Mungu zinabadilika?
Haya Niambie musa alikua anawahukumu kifungo gani wazinzi na wauaji?

Naomba unifafanulie kuhusu CIA na muungano tafadhali
Dalili ya kushindwa kujibu hoja hii manake nilishaongea kabla kwamba:
Na hata intermidiate history inasema Wakoloni walikuja Afrika kutafuta malighafi ya kulisha viwanda vyao kule Europe... kumbe walikuja huku wakati wameshapiga hatua ya viwanda kule kwao! Endapo Afrika tungekuwa tumeendelea japo kwa kilimo; nadhani historia ingekuwa sio hii... badala ya kuwa na history ya utumwa basi huenda ingekuwa history ya biashara na utumwa au hata biashara peke yake!

Kwavile textile industry ilishakua kule kwao, endapo tungekuwa angalau na textile materials huenda pangekuwa na Wakoloni wafanyabiashara ambao focus yao ingekuwa ni kununua hizo textile materials to Europe!

Itoshe tu kusema kwamba, hadi Wakoloni wanagawana Afrika tayari, Benz walishakuwa wameshatengeneza huu usafiri:

View attachment 463863

Chini ya miaka 50, tayari walikuwa wameshafika hapa:
View attachment 463865

Kisha tujiongeze hapa:

View attachment 463866

SWALI: Hao Wafipa ambao walishakuwa Wahunzi by 1200; nini kiliwazuia kusonga mbele na teknolojia yao ya ufuaji chuma?! Unataka kusema Wakoloni walifika Ufipani before 1800 hata wakazuia maendeleo ya ukuaji wa sekta ya chuma; sekta ambayo huko Ulaya ilishapitia kutoka kwenye stage ya kufua chuma into different shape, largely kukifanya kuwa zana ya ncha kali hadi kukifanya chuma kuwa raw material ya kutengeneza bidhaa zingine!!!!

Hayo maendeleo mnayosingizia Wakoloni kwamba ndo sababu ya sisi kutoendelea ni yapi? Hayo maendeleo mnayosema kabla ya kuja kwao tulikuwa sawa na wao ni yapi?!

FREE TIP: Tip #2 nilikumbia wanahistoria walikuwa wanaandika historia zao kwa kuegemea nani ana-fund hiyo project/publishing project na matokeo yake historia ya Afrika imejaa mauongo kibao!!! Hata historia ya juzi juzi tu hapa ya Zanzibar nayo imejaa uongo!

Kama CIA wasinge-declassify classified far dated 1960's bado hadi leo tungeamini kwamba ni Hayati Baba wa Taifa ndie ali-engineer Muungano wa Tanganyika na Zanzibar! Wakati tupo shule sote sisi tumeimba nyimbo za Hayati Sheikh Abeid Aman Karume kuongoza mapinduzi wakati kuna kila dalili kwamba hakufahamu lolote kuhusu hayo mapinduzi!!!

Tip #3: Viongozi wa Afrika hawakuwa na namna ya kuwaridhisha wanaowaongoza zaidi ya kuwalisha uongo kwamba umaskini wao unatokana na Wakoloni! Walishafahamu in advance kwamba hawakuwa na uwezo wa kuifikisha Afrika pale walipoahidi kwahiyo njia muafaka ilikuwa ni kutafuta wa kuwadondoshea jumba bovu... WAKOLONI !!!!!!!! Kwamba, Wakoloni waliiba raslimali zetu... ukiuliza raslimali zipi; HUPATI JIBU na kama zipo basi ni zile ambazo hata Waafrika wenyewe hawakufahamu umuhimu wake kwahiyo they were just rubbish from African awareness!!!

Kama utajiri waliotuibia ni Fuvu la Mkwawa, NAKUBALI kinyume chake, ndo yale yale ya akina Benard Membe kwenda kuda Masalia ya Mjusi yaliyochukuliwa na Mjerumani!!!!

Tuache ujanja ujanja wa kutafuta mchawi wa matatizo yetu wenyewe vinginevyo tutaendelea kuwa masikini hivi daima!!!!

Hicho mnachosema kwamba hapo kale Afrika na Ulaya tulikuwa sawa kimaendeleo ni sawa na pale watoto wanapoanza darasa la kwanza... hawa wote wanakuwa almost equal but pumba na mchele huwa vinajitenga with time!!! Ni kama MD Students wanapoingia kwa mara ya kwanza pale Muhimbili lakini pumba na mchele hujitenga with time!!
 
Dalili ya kushindwa kujibu hoja hii manake nilishaongea kabla kwamba:
Na hata intermidiate history inasema Wakoloni walikuja Afrika kutafuta malighafi ya kulisha viwanda vyao kule Europe... kumbe walikuja huku wakati wameshapiga hatua ya viwanda kule kwao! Endapo Afrika tungekuwa tumeendelea japo kwa kilimo; nadhani historia ingekuwa sio hii... badala ya kuwa na history ya utumwa basi huenda ingekuwa history ya biashara na utumwa au hata biashara peke yake!

Kwavile textile industry ilishakua kule kwao, endapo tungekuwa angalau na textile materials huenda pangekuwa na Wakoloni wafanyabiashara ambao focus yao ingekuwa ni kununua hizo textile materials to Europe!

Itoshe tu kusema kwamba, hadi Wakoloni wanagawana Afrika tayari, Benz walishakuwa wameshatengeneza huu usafiri:

View attachment 463863

Chini ya miaka 50, tayari walikuwa wameshafika hapa:
View attachment 463865

Kisha tujiongeze hapa:

View attachment 463866

SWALI: Hao Wafipa ambao walishakuwa Wahunzi by 1200; nini kiliwazuia kusonga mbele na teknolojia yao ya ufuaji chuma?! Unataka kusema Wakoloni walifika Ufipani before 1800 hata wakazuia maendeleo ya ukuaji wa sekta ya chuma; sekta ambayo huko Ulaya ilishapitia kutoka kwenye stage ya kufua chuma into different shape, largely kukifanya kuwa zana ya ncha kali hadi kukifanya chuma kuwa raw material ya kutengeneza bidhaa zingine!!!!

Hayo maendeleo mnayosingizia Wakoloni kwamba ndo sababu ya sisi kutoendelea ni yapi? Hayo maendeleo mnayosema kabla ya kuja kwao tulikuwa sawa na wao ni yapi?!

FREE TIP: Tip #2 nilikumbia wanahistoria walikuwa wanaandika historia zao kwa kuegemea nani ana-fund hiyo project/publishing project na matokeo yake historia ya Afrika imejaa mauongo kibao!!! Hata historia ya juzi juzi tu hapa ya Zanzibar nayo imejaa uongo!

Kama CIA wasinge-declassify classified far dated 1960's bado hadi leo tungeamini kwamba ni Hayati Baba wa Taifa ndie ali-engineer Muungano wa Tanganyika na Zanzibar! Wakati tupo shule sote sisi tumeimba nyimbo za Hayati Sheikh Abeid Aman Karume kuongoza mapinduzi wakati kuna kila dalili kwamba hakufahamu lolote kuhusu hayo mapinduzi!!!

Tip #3: Viongozi wa Afrika hawakuwa na namna ya kuwaridhisha wanaowaongoza zaidi ya kuwalisha uongo kwamba umaskini wao unatokana na Wakoloni! Walishafahamu in advance kwamba hawakuwa na uwezo wa kuifikisha Afrika pale walipoahidi kwahiyo njia muafaka ilikuwa ni kutafuta wa kuwadondoshea jumba bovu... WAKOLONI !!!!!!!! Kwamba, Wakoloni waliiba raslimali zetu... ukiuliza raslimali zipi; HUPATI JIBU na kama zipo basi ni zile ambazo hata Waafrika wenyewe hawakufahamu umuhimu wake kwahiyo they were just rubbish from African awareness!!!

Kama utajiri waliotuibia ni Fuvu la Mkwawa, NAKUBALI kinyume chake, ndo yale yale ya akina Benard Membe kwenda kuda Masalia ya Mjusi yaliyochukuliwa na Mjerumani!!!!

Tuache ujanja ujanja wa kutafuta mchawi wa matatizo yetu wenyewe vinginevyo tutaendelea kuwa masikini hivi daima!!!!

Hicho mnachosema kwamba hapo kale Afrika na Ulaya tulikuwa sawa kimaendeleo ni sawa na pale watoto wanapoanza darasa la kwanza... hawa wote wanakuwa almost equal but pumba na mchele huwa vinajitenga with time!!! Ni kama MD Students wanapoingia kwa mara ya kwanza pale Muhimbili lakini pumba na mchele hujitenga with time!!
Naomba unifafanulie kuhusu CIA na muungano tafadhali
 
hutyo herode si alikuwa mfalme wa Israel Mkuu-na kama ndivyo basi ni dhahiri alikuwa akiongoza weupe wenzake kwa maana hiyo waisrael ni weupe.sasa dhana na ya kuwa waisrael halisi walikuwa weusi inatoka wapi??
Herode alikuwa mtawala alowakwa na waroma....ni sawasawa na useme tanganyika si ilikuwa. Chini ya gorvenor richard turnbull kwa iyo watanganyika walkuwa wazungu???...try to dig deep na kusoma zaidi
 
Kumbuka Waarabu sio wa kwanza kuingia hapo, na Wamisri hao wa kale walikuwa na vituo vya elimu hasa eneo la Alexadria ambalo watu wa mataifa mbalimbali walikuwa wanakuja kusoma hapo, hivyo Waarabu ni race ya mwisho kuingia hapo Misri baada ya Wayunani-Greeks na kisha Warumi chini ya Alexander the great

Hiyo picha hapo chini inaonyesha watu wa race mbili tofauti, hao wanaotahiri ni watu Weusi ambao ndio wenye huo ujuzi na utamaduni, wakiwapa tohara hao wageni watu weupe? Wagiriki, Warumi, Waarabu?

View attachment 463577
Hata hii michoro mingi imechakachuliwa...
 
Watu weusi tuna taabu!! Tusipojiegesha kwa Wayahudi utasikia Misri ya Kale tulikuwa sisi!!

Tulivyo maboya, upande mwingine tunaamini sisi ni watoto wa Ibrahim! Na kuhitimisha uboya kama sio ukila.za wetu hapo hapo tunakubali, Ishmael ni mtoto wa Ibrahim na huyu Ishmael mama ake alitokea Misri! Na kutokana na unduze huo huo tulionao tunakubali Ishmael ndie chimbuko la Waarabu-- kwamba mtoto wa mama Mmisri ndie chimbuko la Waarabu na hivyo kuwa na uwezekano mkubwa kwamba mama ake Ishmael nae alikuwa Mwarabu wa Misri!

Sasa hao Waarabu walienda wapi hadi Misri ikageuka kuwa ya Wamatumbi akina Firauni?! Mbona hawa Wamatumbi hatusikii kwamba ndio wanadamu wa kale nchi jirani na Misri?!

Miafrika bhana... kusikia Wayahudi eti ma-genius na yenyewe inataka kujinasibisha na Wayahudi! Kusikia Mzungu na jeuri yake yote hadi leo hafahamu mapiramidi yalijengwaje... Wamatumbi hao; kama mkojo wa asubuhi kwamba eti mapiramidi yalijengwa na mababu zao!!

Ajabu ni kwamba, hawafananii na chochote na hao kimaarifa! Japo miaka elfu kadhaa ishapita, ndo kwanza wengine tunajiita Tanzania ya Viwanda lakini viwanda vyenyewe ni vile ambavyo Ulaya vilikuwepo miaka 500 iliyopita!
Kama hujui kaa kimya usilete porojo...
Ukweli hautobadilika kwa sababu ya mtizamo wako....
 
Hakuna cha evidence... all are just hypotheses. By the way, nimetaja akina nani?!
Kwanini usichukue muda wako nawe ukaanza kuchimba historia ya mtu mweusi kuliko kukakamaza shingo?....ukombozi wa watu huanza katka kujitambua kwanza....swali la kwanza huwa mimi ni nani?? Nimetokea wapi? Asili yangu historia yangu?....kujikomboa kitamaduni kijamii...kifikra...ndiko hupelekea kujikomboa kiuchumi....kumbuka mzungu au mwarabu hakuja ili akukomboe wewe mwafrika bali ye mwenyewe ajitajirishe....ambapo walianza kwanza kwa kututawala ktk nyanja zote za kitamaduni...kidini....kiuchumi...kijamii....iyo ni minyororo ambayo tunapaswa kuivunja...tunaivunjeje??? Ndio yapaswa tujitambue kwanza...
 
Kwanini usichukue muda wako nawe ukaanza kuchimba historia ya mtu mweusi kuliko kukakamaza shingo?....ukombozi wa watu huanza katka kujitambua kwanza....swali la kwanza huwa mimi ni nani?? Nimetokea wapi? Asili yangu historia yangu?....kujikomboa kitamaduni kijamii...kifikra...ndiko hupelekea kujikomboa kiuchumi....kumbuka mzungu au mwarabu hakuja ili akukomboe wewe mwafrika bali ye mwenyewe ajitajirishe....ambapo walianza kwanza kwa kututawala ktk nyanja zote za kitamaduni...kidini....kiuchumi...kijamii....iyo ni minyororo ambayo tunapaswa kuivunja...tunaivunjeje??? Ndio yapaswa tujitambue kwanza...
Big point
 
Mimi sina dhana wala sikuwahi kuwa na shaka juu ya wapi kilipotokea kitabu cha Allah aliye juu.Hata kama nikinukuu ushahidi kutoka kwenye kitabu hicho siwezi kutanguliza tamko "Inawezekana..." au mfano wake sababu sina shaka juu yake.

Pia kuamini uwepo wa kitu fulani au uhakika wake si mpaka nikione mzee.Vingapi tuna viamini na hatuvioni ? Jibu vipo vingi tunavyoviamini na hatuvioni.
Je we ni mwarabu? Km sio mwarabu....unaaminije kiasi icho kitabu ulicholetewa na waarabu na imani zao?
 
Watu weusi tuna taabu!! Tusipojiegesha kwa Wayahudi utasikia Misri ya Kale tulikuwa sisi!!

Tulivyo maboya, upande mwingine tunaamini sisi ni watoto wa Ibrahim! Na kuhitimisha uboya kama sio ukila.za wetu hapo hapo tunakubali, Ishmael ni mtoto wa Ibrahim na huyu Ishmael mama ake alitokea Misri! Na kutokana na unduze huo huo tulionao tunakubali Ishmael ndie chimbuko la Waarabu-- kwamba mtoto wa mama Mmisri ndie chimbuko la Waarabu na hivyo kuwa na uwezekano mkubwa kwamba mama ake Ishmael nae alikuwa Mwarabu wa Misri!

Sasa hao Waarabu walienda wapi hadi Misri ikageuka kuwa ya Wamatumbi akina Firauni?! Mbona hawa Wamatumbi hatusikii kwamba ndio wanadamu wa kale nchi jirani na Misri?!

Miafrika bhana... kusikia Wayahudi eti ma-genius na yenyewe inataka kujinasibisha na Wayahudi! Kusikia Mzungu na jeuri yake yote hadi leo hafahamu mapiramidi yalijengwaje... Wamatumbi hao; kama mkojo wa asubuhi kwamba eti mapiramidi yalijengwa na mababu zao!!

Ajabu ni kwamba, hawafananii na chochote na hao kimaarifa! Japo miaka elfu kadhaa ishapita, ndo kwanza wengine tunajiita Tanzania ya Viwanda lakini viwanda vyenyewe ni vile ambavyo Ulaya vilikuwepo miaka 500 iliyopita!
Tusingekuwa na akili wazungu wasingetusomba kwa maelfu kwenda kucheza mpira kwenye timu zao tena kwa bei kubwa
 
Herode ni cheo cha mtawala wa wayahudi wakati wa utawala wa warumi. Ndo maana tunaona kuna Herode aliyeamrisha watoto wauawe wakati wa kuzaliwa Yesu na yule wa wakati wa kuhukumiwa Yesu Kristo.
Yesu alipoondoka Nazareth alielekea Galilaya na maeneo mengineyo akiwapatia watu habari njema. Wote Yesu na Herode ni wayahudi. Herode alikuwa makao makuu ya wayahudi huko Yerusalemu. Hivi tukisema mgalilaya ni kuonyesha alitokea Galilaya na kwa walioishi Galilaya walmwita Mnazareth kwa kuwa alitokea Nazareth.

Kuna yule Muethiopia wa Kirene ambaye tunamuita Simoni Mkirene aliyemsaidia Yesu Msalaba (huyu waislamu husema alibadilishiwa sura na Yesu na Yesu akatokomea kusikojulikana, ambapo sisi huwajibu Mungu wetu si mDanganyifu) pia kuna yule mwanamke aliyeishi huko samaria ambapo ni tunamwita mwanamke msamaria n.k.
Jamani ,Yesu akatokomea....
simoni alisaidia msalaba ila baada ya pale sikuelewa yalimfata yapi.
na kuna kitu kilinichanganya afadhali umejibu.
wana mwita Yesu mnazareti ,wakati wanasema katoka galilaya kumbe ndo hivooo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom