Ijue Historia ya Firauni na uongo aliozushiwa

Gavana wa kirumi alikuwa Pilato, Herod alikuwa myahudi aliyekuwa chini ya kaisar augosto Mfaume wa warumi kupitia gavana wake pilato. Kama sisi tulivyo tawaliwa na ufalme wa kingereza kupitia gavana air. Edward twining na dolnard Cameroon, Richard Trumbull ....
bila kusahau Horace byatt_
Afadhali maana hao watu wanachanganya bora umefafanua
 
Wayahudi wahuni sana.wakaona bora aachiwe baraba lakini sio yesu
Juzi wakati naangalia hii sinema ya "passion of crist"
niligundua kitu ambacho hata hapa kwetu kipo.
wayahudi walikubali kumuachi mnyang'anyi na muuaji baraba kuliko kumwacha Yesu.
ndivyo hivo waTanzania wako tayari kuokota hata jiwe lakini sio President Maghufuli.

nilipata fundisho sana.
 
Lakini kwa maono yangu, Huwa naona ule uzao wa Nut na Geb ndio wenye mamlaka ya kurun Dunia! Yaani Isis, Osiris, Seth, na Nephtysis. Huyu Seth tunaambiwa na wamisri kuwa alikuwa ndo muovu wa kwanza kwa kumuua Kaka yake Osiris kwa kumgawanya vipande vipande!
Mbali na kuwa Seth alishika mamlaka ya kuutawala ulimwengu kwa muda ila alikuja kunyang'anywa mamlaka na Horus! Ambae anatoka kwenye familia ya ISis na OSiris!
Kifupi tunaambiwa kuwa Familia hii ikawa na mamlaka ya Ulimwengu kabisa! Huku Osiris/Mungu baba Akitawala Underword na mwanae Horus/Ra Akitawala Ulimwengu! Na mama Isis akiwa ni mjumbe wa pande zote mbili juu na Chini!/Messenger/ Roho mtakatifu.
Nguvu ya Utatu wa hao watatu ndiyo inayourun ulimwengu hadi sasa, tangu siku Seth alipopinduliwa na Horus/RA.
Pia nguvu hiyo ya Utatu mtakatifu huwa kamilifu na yenye nguvu kuu pale Ra anapoungana na Oddoad god ajulikanaye kama Amon/Amun/Amen.
Huyu ni mmoja wa miungu Nane ya asili Katika dunia.
Hii ilikuwepo kabla hata ya Atum/Adam/Tem/ Mwanadamu wa kwanza kushuka ulimwenguni, Atum mwenyewe alikiri kwa Osiris kuwa Wakati anafika Ulimwenguni kwa mara ya kwanza alimkuta Amen akiwa hapa tayari! Maana ya Amun ni Nguvu isiyoonekana!
Odoad Gods ina miungu nane, hao ni wakongwe.

Miungu hao ni.
Nun na mkewe Naunet
Hehe na mkewe Hauhet
Kuk na mkewe Kauket
Amen na mkewe Amaunet

Wote hawa wana Vipawa tofauti mfano Hehe na mkewe Hauhet wao kazi yao ni kuusimamia Muda! Huyu ndiye Mungu wa muda/Mungu wa Miaka milioni na mlinzi wa Taifa la Misri kwa miaka milioni!

Na hao wengine pia wana majukumu yao kama Kek na Giza,
Nun na water of chaos!

Sasa kile kizazi cha Adam cha watoto Watatu yaani ISIS, OSIRIS, HORUS, kikishirikiana bega kwa bega na AMEN ndiyo wanaourun Ulimwengu kwa sasa!

Nategemea Maoni yenu wasomaji,
Kukosolewa pia
Ili tupate majibu ya mchawi ni nani Africa, na hii laana Imetokea wapi!? ISIS na wengine karibuni sana.
4c1459e4f7efa13db4a80fc1d0fe759b.jpg
Heh
Well said Secret Star! Ngoja tukusanye data turudi! Hii kitu mpaka kieleweke! Waafrica tumeanguka wapi! Mola azidi kutufungulia!
 
Juzi wakati naangalia hii sinema ya "passion of crist"
niligundua kitu ambacho hata hapa kwetu kipo.
wayahudi walikubali kumuachi mnyang'anyi na muuaji baraba kuliko kumwacha Yesu.
ndivyo hivo waTanzania wako tayari kuokota hata jiwe lakini sio President Maghufuli.

nilipata fundisho sana.
Na hiyo inatokana na kufungwa akili, waafrica tumekuwa hatujielewi, tunatumia nguvu kutatua jambo na wenzetu wa Europe, Asia, marekani wanatumia beyond powers! Wametuvuruga vichwa na kutupandikizia mbegu ya chuki kwenye imani/siasa/elimu.
Mkumbuke Ghadafii wa Libya!
 
Mkuu.mungu ni mmoja.hao wengine wanatoka wap
Kama wewe ni mkristo na unatambua kwamba kuna fumbo la imani, na kuna utatu mtakatifu yaani maana yake "watatu" watakatifu, Utastuka kuwa kauli yako ina shida!
Kumbuka Mungu wa Musa alimwambia Usiabudu Miungu wengine!
Maana yake, Mungu huyu wa Musa alitambua fika kama kuna mungu wengine wengi sana hivyo akampa sharti Akisema niabudu mimi tu!
So swali lililopo hapa ni yeye(Mungu wa Musa) alikuwa wa kweli au hao wengine ambao alimkataza Musa asiwaabudu! Ndio baadhi yao walikuwa wakweli?
Hili ni swali gumu lisilohitaji kukurupuka kulijibu.

Hapa tunapaswa kurudi nyuma katika Historia Ya misri kujua ni Mungu gani aliyekuwa yupo nyuma ya Musa, akimpa muongozo ule?, na Je ni kweli kuwa yeye peke yake ndiye mmoja wa kweli!?? Au alikuwa na Chuki na Miungu wengine!
 
Juzi wakati naangalia hii sinema ya "passion of crist"
niligundua kitu ambacho hata hapa kwetu kipo.
wayahudi walikubali kumuachi mnyang'anyi na muuaji baraba kuliko kumwacha Yesu.
ndivyo hivo waTanzania wako tayari kuokota hata jiwe lakini sio President Maghufuli.

nilipata fundisho sana.
Naona unaleta siasa sasaa
 
Kama wewe ni mkristo na unatambua kwamba kuna fumbo la imani, na kuna utatu mtakatifu yaani maana yake "watatu" watakatifu, Utastuka kuwa kauli yako ina shida!
Kumbuka Mungu wa Musa alimwambia Usiabudu Miungu wengine!
Maana yake, Mungu huyu wa Musa alitambua fika kama kuna mungu wengine wengi sana hivyo akampa sharti Akisema niabudu mimi tu!
So swali lililopo hapa ni yeye(Mungu wa Musa) alikuwa wa kweli au hao wengine ambao alimkataza Musa asiwaabudu! Ndio baadhi yao walikuwa wakweli?
Hili ni swali gumu lisilohitaji kukurupuka kulijibu.

Hapa tunapaswa kurudi nyuma katika Historia Ya misri kujua ni Mungu gani aliyekuwa yupo nyuma ya Musa, akimpa muongozo ule?, na Je ni kweli kuwa yeye peke yake ndiye mmoja wa kweli!?? Au alikuwa na Chuki na Miungu wengine!
Pharaoh alipoamua kutoingia baharini wakati waisrael wanapita, na alipoona jeshi lake limeangamia na maji, alisema 'Mwenye Enzi Mungu yupo upande wa waisrael' ,maana Pharaoh alijua zile nguvu za umungu alizokuwa nazo na jeshi lake sasa zime hama na zimehamia upande mwingine! Na ninaamini hapo ndipo lilipoanza anguko Lao!
 
Kama wewe ni mkristo na unatambua kwamba kuna fumbo la imani, na kuna utatu mtakatifu yaani maana yake "watatu" watakatifu, Utastuka kuwa kauli yako ina shida!
Kumbuka Mungu wa Musa alimwambia Usiabudu Miungu wengine!
Maana yake, Mungu huyu wa Musa alitambua fika kama kuna mungu wengine wengi sana hivyo akampa sharti Akisema niabudu mimi tu!
So swali lililopo hapa ni yeye(Mungu wa Musa) alikuwa wa kweli au hao wengine ambao alimkataza Musa asiwaabudu! Ndio baadhi yao walikuwa wakweli?
Hili ni swali gumu lisilohitaji kukurupuka kulijibu.

Hapa tunapaswa kurudi nyuma katika Historia Ya misri kujua ni Mungu gani aliyekuwa yupo nyuma ya Musa, akimpa muongozo ule?, na Je ni kweli kuwa yeye peke yake ndiye mmoja wa kweli!?? Au alikuwa na Chuki na Miungu wengine!
Mungu ni mmoja aliyeumba mbingu na ardhi na vilivyomo kati yao.hao waungu wengine wameumba nini?
 
Pharaoh alipoamua kutoingia baharini wakati waisrael wanapita, na alipoona jeshi lake limeangamia na maji, alisema 'Mwenye Enzi Mungu yupo upande wa waisrael' ,maana Pharaoh alijua zile nguvu za umungu alizokuwa nazo na jeshi lake sasa zime hama na zimehamia upande mwingine! Na ninaamini hapo ndipo lilipoanza anguko Lao!
Wewe.huyu firaun hakuwa na nguvu zozote.Zaidi ya kutumia wachawi kupambana na musa
 
IMG_0409.JPG
Kuna nguvu za ajabu ambazo binadamu wengine wanazo, na haswa waafrica ndiyo maana Mola akatupa utajiri mwingi kwenye continent letu! Sasa sisi tuwe na majukumu ya kujua jinsi ya kutoka! Maana system iliyoko sasa hivi ulimwenguni haipo on our favor! Lazima tu create a total new ideas! Maana sasa hivi hizo nguvu ziko upande wetu!
 
Mungu ni mmoja aliyeumba mbingu na ardhi na vilivyomo kati yao.hao waungu wengine wameumba nini?
Musa Story za bible zote alizicopy kutoka dini ya kale ya Misri!
Kama wewe ni mkristo utakuwa unaamini Mungu baba, mungu mwana, na mungu roho mtakatifu ambao kiuhalisia Si mmoja ni watatu! Hao watatu asili yao ni Misri wanajuliana kama "Isis, Ra na El"
Ambapo unakuta hata jina la "Israel" limefanywa kutokana na misingi ya miungu hao!
Muumba wa vitu anajulikana kama "Ra", muumba wa watu na mmaliziaji wa uumbaji anajulikana kama Temu! Au Atum.
Vivyo hivyo giza anajulikana kama Kek!
Maji anajulikana kama Nun,
na huko ndiko alikotokea Atum!

Huyu Atum Musa alibadilisha kidogo na kumuita Adam
 
Pharaoh alipoamua kutoingia baharini wakati waisrael wanapita, na alipoona jeshi lake limeangamia na maji, alisema 'Mwenye Enzi Mungu yupo upande wa waisrael' ,maana Pharaoh alijua zile nguvu za umungu alizokuwa nazo na jeshi lake sasa zime hama na zimehamia upande mwingine! Na ninaamini hapo ndipo lilipoanza anguko Lao!
Wooow safi kumbe ni hivi! Hii ni moja ya point kubwa nilizokuwa natamani kuzijua! Unaona hapa?,
Kumbe Mungu RA, OSIRIS, na ISIS walihama wakaenda upande wa Waisrael na sisi wakatuachia Laana ambayo ilianzia kwenye mapigo saba!
Kifupi ile laana bado haijatoka kwenye taifa la Misri hadi sasa!
Musa aliiba Uwezo wetu akakimbia nao!
Na ndiyo maana tangu enzi hizo hadi sasa, vitu muhimu kama Teknolojia, na maarifa mbalimbali Vilikufa hapa Africa na kuhamia kwa Wazungu, Wakati kale vilikuwa Africa na Wazungu walikuja kujifunza kwetu!
Rejea Baba wa imani Abraham alikuwa anatoka kwao Huko Asia anakuja Misri sababu Ndiyo ulikuwa mji mkubwa uliokuwa umeendelea zaidi kiteknolojia na kibiashara!
Pia Wagiriki ambao walipenda sana kwenda misri kwa ajili ya kupata maarifa na Ujuzi!
 
Wewe utapotea kwa kufikiri ni nguvu za giza, Nimrod na mafarao kwa kuwa walikuwa ni watu weusi, wakaitwa ni mashetani na antichrist! Lazima uamke na ujitambue! Uwoga ni mfungwa wa milele!
Hawa ni watumwa wa Bible hata usiwalaumu ni halali tu! Laana aliyotuachia Musa inatupiga kwa njia tofauti Weusi!
Kifupi ni kuwa halaiki ya watu wapo gizani sana!
 
Hawa ni watumwa wa Bible hata usiwalaumu ni halali tu! Laana aliyotuachia Musa inatupiga kwa njia tofauti Weusi!
Hahahaha!
Lakini sasa ni wakati wetu! As it was at the beginning so it shall be at the end!
Ile Sala ya Bwana, inavyosema 'UFALME WAKO UJE, MAPENZI YAKO YAFANYIKE HAPA DUNIANI KAMA MBINGUNI!...kumbe tuna nguvu na tunaweza kuishi hapa duniani kwa furaha kubwa. Lakini majority ya dini za sasa zinakwambia ukifa ndiyo utastarehe mbinguni! They will be surprise!
Kuna vitu vingi mno vya kujifunza!
 
Hahahaha!
Lakini sasa ni wakati wetu! As it was at the beginning so it shall be at the end!
Ile Sala ya Bwana, inavyosema 'UFALME WAKO UJE, MAPENZI YAKO YAFANYIKE HAPA DUNIANI KAMA MBINGUNI!...kumbe tuna nguvu na tunaweza kuishi hapa duniani kwa furaha kubwa. Lakini majority ya dini za sasa zinakwambia ukifa ndiyo utastarehe mbinguni! They will be surprise!
Kuna vitu vingi mno vya kujifunza!
LOL
 
View attachment 499793Kuna nguvu za ajabu ambazo binadamu wengine wanazo, na haswa waafrica ndiyo maana Mola akatupa utajiri mwingi kwenye continent letu! Sasa sisi tuwe na majukumu ya kujua jinsi ya kutoka! Maana system iliyoko sasa hivi ulimwenguni haipo on our favor! Lazima tu create a total new ideas! Maana sasa hivi hizo nguvu ziko upande wetu!
Isis hongereni sana naona mnachambua kweli, nami najifunza sana hapa. Mmenibadilisha sana asanteni
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom